Yes, referees selection matteds a lot. Hii kuna kajamaa pale KBC BANK,Ukenyani, kalim recommend ndugu yqngu vibaya akakosa kazi ya senior EFTA . Kabaki nako hapo na wako idara moja. Yaan ngozi nyeusi laana na roho mbaya twatembea nazo.
Eti hafai wakati ni subordinate wako
hawa jamaa wanakera sana, wamewahi kunitukana na kusema mm mdhamini wa fulani, nikawaambia nilisain wapi mpaka mnifokee namna hii??? mnasema ntanipeleka polisi asipolipa??? nikisema simjui mna ushahidi gani?? mna uhakika nili consent niwe mdhamini??
Aisee, ikawa kama nimewachokoza, kila saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.