Wapagani wanaamini haki za I love kibinadamu, hivyo wanachukia ikiwa hazizingatiwi. Kwa kuwa ugaidi unahusishwa na uislam, wapagani wanauchikia uislam.
Orodha imenishawishi Lakini nashindwa kuridhia kwamba mweusi amempiku mwislam kwa chuki!!!!
Mweusi anachukiwa kwa kuanzia nyumbani Africa. Kwa kuwa tumeshuhudia baadhi wakilani rangi yao kwa kusaka mikorogo. Pia tumeshuhudia baadhi ya wanaume wakibeza wasichana weusi na kuwatukuza weupe.
Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.