RC makonda amefanya uvamizi mkubwa mno na mnyanganyi. amechukua clip kwa nguvu bila kuomba kwa flash yake. hii siyo unyanganyi na uvamizi? acheni ujinga nyie
wana jf habari za asubuhi. nilikuwa nje ya mtandao kwa mda mrefu. nimesoma mambo cloud ilivyovamiwa na mh. bashite na pia leo ndo nasikia mambo ya shirawadu hiki kipindi siijui ni kipindi gani. ila nasema kuwa safari hii yamemkuta. mbio za sakafuni huishia ukingoni
habari za humu wana jf.Nilikuwa na pita kwa gari kutoka hydom kwenda katesh. niliwauliza raia wa eneo wanalokarabati wa SMCS wanasema kampuni inayokarabati barabara hiyo ni kampuni ya elerai ambao ndo walioshika contract ya ukarabati huu. kabla ya kufika katesh eneo wanalosema njia panda ya...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kutovichukulia hatua vyombo vya habari mara kwa mara na badala yake vinapokosea wavirejeshe katika mstari sahihi kwa upendo.
Kwa ufupi
Nape ametoa ombi hilo leo wakati wa uzinduzi wa...
jamani ebu serikali kaeni pembeni angalieni mechi inavyochezwa.swala la waziria wa sheria na katiba kuingilia tamaduni za watu ambaapo hakukaribishwa aache ..haimhusu yeye asubiri tu atakayechaguliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.