Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

Kumbe hata yule anayejiita Waziri wa Sheria tunaweza kumshtaki kwa kuingilia chaguzi za Taasisi huru
 
Hukumu itolewe mapema ili watu waendelee kufanya mambo yao kwa uhuru zaidi.
 
Hazifanyi kazi kwa weledi!!
Semina elekezi ni muhimu sana! Ukiondoa wakongwe wote ghafla,ukaona vijana ndo nguvu mpya na kila kitu,mhh hatari! Tena afadhali Mahakama kwingine hali so shwari. Jambo dogo la kumaliza Wilayani simu zitapigwa kila kona huko juu kuomba ushauri!
 
nasubiri kutoka mahakamani kuwa jf imeshinda kesi... mungu tuokoe siwanadam
wakkko kuna mtu amesema ye ni msemaji kuliko wew uliyejuu
 
Sidhani kama kuna jipya!
Tunasigina Uhuru wa Mahakama na Mamlaka ya Bunge kwa Ajiri ya Watu wasiozidi hata kumi!
Hata JF itashinda,figisu zitaendelea tu!
Nikusahihishe. Hawa watu hawazidi wawili. Ni mtu na mwanae tu!
 
Polisi wanatakiwa kwenda mahakamani ku-justify why they need individual personal data this is very sensitive issue.

Ina maana kama mahakama haijiridhishi na maelezo ya polisi haitotoa ridhaa hiyo. Wajifunze kwenye shauri la Apple alivyowakatalia FBI kufungua simu ya mtuhumiwa Rizwan Farook wa San Bernardino tena swala lile lilikuwa na mashiko.

Na siyo wanataka data za mtu kutoka JF eti kwa sababu tu labda mtu huyo kasema maneno mabaya dhidi ya RC, au kafichua siri ya ufisadi. Sasa waache kukurupuka, inawezekana hao mapolisi wengine ndiyo wenye vyeti kama vya kina Daud Bashite.
 
AG na DPP wameshaonywa na mahakama,kuna nin kwa hizi taasisi za serikali????

Mahakama inawaonya AG na DPP kwa misingi ipi?

Wao mahakama ndio wame rubber stamp kila anachotaka DPP. Kosa sio la DPP.

Kwa sababu, labda ngoja nitoe elimu kwa umma hapa, ever so briefly.

Mfumo wa sheria wa Tanzania ni adversarial judicial system. Pande mbili zinazokutana mahakamani zinapingana kwa nguvu zote, hakuna kuchekeana wala huruma, ubaya ubaya!

DPP na state attorneys wake wamekula kiapo cha kitaaluma na cha kiajira cha kutetea na kupigania interest za Jamhuri mbele ya mahakama kwa nguvu zao zote, akili zao zote, jasho, mbinu, hila, sarakasi, technicalities, na kila aina na namna ya figisu inayokubalika kisheria kutafuta ushindi. Ukishindwa jukumu hilo una makosa yanayoitwa incompetent representation of counsel.

Sasa ni jukumu la Mahakama kukwamisha hila ya wakili wa Jamhuri ambayo haikubaliki kisheria.

Kwenye kesi ya Lema, kwa mfano, hakimu alitia rubber stamp, alikubali taarifa ya mdomo ya Jamhuri ya kunuia kukata rufaa ya dhamana. Akamsweka Lema ndani wakisubiri shauri. Siku ya shauri la dhamana Jamhuri ikaondoa kesi asubuhi! Lema kashakaa ndani miezi! Jaji akatoa machozi!

Such a brilliant, shrewd, legal maneuvre by the state attorney which takes advantage of the inept magistrate handling the case along with the gaping loopholes in the criminal procedure laws.

Jaji unalalamika nini? Kwani DPP ndio alimsweka Lema ndani? Jaji alitakiwa kum lambast hakimu aliyemkubalia DPP kila anachoomba.

Halafu sasa kibaya zaidi, Freeman Mbowe, leader of the opposition akaenda mbele ya microphone kuitangazia dunia kwamba upinzani tulikuwa tunadhani kimakosa kwamba mahakama is compromised.

Badala ya kusema karipio la jaji limedhihirisha kwamba Mahakama was compromised Mbowe essentially anasema tulikuwa tunakosea kuilaumu mahakama. Amerudisha nyuma miaka na miaka ya juhudi na vilio vya upinzani kwamba the judiciary is a rubber stamp of the government.
 
Naomba pia uzungumzie ile kauli ya Mkulu kwamba wakili yoyote akimtetea mtuhumia aliyekamatwa akitenda jinai redhanded naye aswekwe ndani. Kwa sheria ipi?




Mahakama inawaonya AG na DPP kwa misingi ipi?

Wao mahakama ndio wame rubber stamp kila anachotaka DPP. Kosa sio la DPP.
Kwa sababu, labda ngoja nitoe elimu kwa umma hapa, ever so briefly.

Mfumo wa sheria wa Tanzania ni adversarial judicial system. Pande mbili zinazokutana mahakamani zinapingana kwa nguvu zote, hakuna kuchekeana wala huruma, ubaya ubaya!

DPP na state attorneys wake wamekula kiapo cha kitaaluma na cha kiajira cha kutetea na kupigania interest za Jamhuri mbele ya mahakama kwa nguvu zao zote, akili zao zote, jasho, mbinu, hila, sarakasi, technicalities, na kila aina na namna ya figisu inayokubalika kisheria kutafuta ushindi. Ukishindwa jukumu hilo una makosa yanayoitwa incompetent representation of counsel.

Sasa ni jukumu la Mahakama kukwamisha hila ya wakili wa Jamhuri ambayo haikubaliki kisheria.

Kwenye kesi ya Lema, kwa mfano, hakimu alitia rubber stamp, alikubali taarifa ya mdomo ya Jamhuri ya kunuia kukata rufaa ya dhamana. Akamsweka Lema ndani wakisubiri shauri. Siku ya shauri la dhamana Jamhuri ikaondoa kesi asubuhi! Lema kashakaa ndani miezi! Jaji akatoa machozi!

Such a brilliant, shrewd, legal maneuvre by he state attorney which takes advantage of the inept magistrate along with the gaping loopholes in the criminal procedure laws. Sio kosa la DPP.

Jaji unalalamika nini? Kwani DPP ndio alimsweka Lema ndani?

DPP hatakiwi kumuonea mtu huruma! Mahakama ndio inatakiwa ku apply sheria! Jaji alitakiwa kum lambast hakimu aliyemkubalia DPP kila anachoomba.

Halafu sasa kibaya zaidi, Freeman Mbowe, leader of the opposition akaenda mbele ya microphone kuitangazia dunia kwamba upinzani tulikuwa tunadhani kimakosa kwamba mahakama is compromised.

Badala ya kusema karipio la jaji limedhihirisha kwamba Mahakama was compromised Mbowe essentially anasema tulikuwa tunakosea kuilaumu mahakama. Amerudisha nyuma miaka na miaka ya juhudi na vilio vya upinzani kwamba the judiciary is a rubber stamp of the government.
 
DPP na state attorneys wake wamekula kiapo cha kitaaluma na cha kiajira cha kutetea na kupigania interest za Jamhuri mbele ya mahakama kwa nguvu zao zote, akili zao zote, jasho, mbinu, hila, sarakasi, technicalities, na kila aina na namna ya figisu inayokubalika kisheria kutafuta ushindi. Ukishindwa jukumu hilo una makosa yanayoitwa incompetent representation of counsel.
Sasa ni jukumu la Mahakama kukwamisha hila ya wakili wa Jamhuri ambayo haikubaliki kisheria.

Yapo mengine wanayafanya kinyume kabisa na sheria. Mfano ni kusudio la kukata rufaa dhidi ya dhamana kwenye kesi ya lema lilielezwa kwa mdomo tu. Sheria inataka wawasilishe kwa utaratibu na hakimu angeendelea kutolea uamuzi baada ya kupokea "submissions" za upande wa mashitaka na utetezi.

Kwenye kesi ya Lema, kwa mfano, hakimu alitia rubber stamp, alikubali taarifa ya mdomo ya Jamhuri ya kunuia kukata rufaa ya dhamana. Akamsweka Lema ndani wakisubiri shauri. Siku ya shauri la dhamana Jamhuri ikaondoa kesi asubuhi! Lema kashakaa ndani miezi! Jaji akatoa machozi!

Such a brilliant, shrewd, legal maneuvre by he state attorney which takes advantage of the inept magistrate along with the gaping loopholes in the criminal procedure laws. Sio kosa la DPP

Kaka ...
 
Back
Top Bottom