Umeongea points sanaa ila watu hawaoni kazi kulaumuu tuu. Chukulia mfano kwako tuu kuendesha familia sometimes unatingwa inabidi uende kukopa kwa jamaa ako. Miradi ni mingi sanaa kwa wakati mmoja na pressure ya kuimaliza ni kubwa sanaa hasa kutoka kwa wananchi wanahoji sanaa kuhusu miradi yao...
Kila Mtanzaniaa anadaiwa 1.2M ila kiuchumi bado deni ni himilivu pato ghafi la kila Mtanzaniaa ni 2.3M ukitoa hyo 1.2M ya deni unabakiwa na 1.1M ndio maana Mwigulu anajitapa kila siku nchi inakopeshekaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.