Nilijua ni maigizo tu haya. Namshauri mr pombe apambane katiba ya warioba irudishwe ndio itakua kinga yake wakati wa utumbuzi wa majipu makubwa tu, vinginevyo wala asijaribu
Hapa tanzania watoto wanakaa chini, wanakunya maporini, walimu hawana nyumba, mishahara mibovu, amekua madarakani hajawah kujaribu hata kuongelea leo anaenda kutatua ya dunia? Kweli vichaa ni watu. Anatafuta coverage kufunika anayoyasema pombe kulikua na mambo ya hovyo, hovyo kweli kweli...
Kuna watubwalidhani wana hati miliki ya hii nchi, namuombea magufuli aliejitoa sadaka kwa kuwashughulikia. Ikibainika hata huyo kikwete kama alihusika na afungwe. Tutabadili katiba kwa dharura
Hiki kitengo cha ardhi ni janga kuu, mm nimefuatilia hati mwaka mzima jamani, na kiwanja hakina tatizo lolote had ninapoongea nimetoka leo pale wizarani na sijapata
Naona kimei kachoka na team yake. Ni almost branch zote huduma hovyo. mm nipo mbioni kuihama moja kwa moja teller mnajenga sita mnaweka wahudumu wawili ili iweje?
kikwete alishasema mumuache mkapa apumzike jamani. ha haaaaa
Dar es Salaam.[/SIZE][/FONT][/B] Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto amesema baada ya kukamilisha shughuli ya ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow ambayo Sh306 bilioni zilichotwa, kamati yake sasa...
Tanzania hakuna sheria wala msitegemee lolote lile. Huyu alitafuta umaarufu na kaupata, hl jeshi lenyewe lishakua la siasa tuu
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Ccm watambue wanachofanya ndio kujiandalia kifo, KANU did the same na waliumbuka kura ya maoni ndio ikawa safari yao, kuondoa tunu za taifa ni kwa malengo ya nani? Ili waendelee kuiba, leo madaraka ya rais analala akiamka anateua hata mkwewe kua mkuu wa mkoa huo ujinga mwisho. Mikataba yote iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.