Recent content by BASANORARE

  1. BASANORARE

    Trump: Marekani imevishambulia vinu vya nyuklia vya Iran

    Kwa hiyo baada ya kupiga ndio unaona ni wakati WA amani. Kwann usiitafute kabla ya kujeruhi. Lkn hii vita ya Israel na Iran ni vita ambayo imejaa 1. Propaganda sana 2. Technology 3. Ushawishi 4. Intelligence ya Hali ya juu
  2. BASANORARE

    Tuone picha ya Chuo alichosoma Mbunge aliwaamuru POLISI kumaliza KENGE

    Mm nimeona amemaliza 2015. Inamaana kasoma secondary kwa miaka 18. Kazi ipo
  3. BASANORARE

    Nina ndoto za kufika na kuishi Burundi, Naombeni connection

    Nimesoma comment za watu waliotsngulia kwa kiasi kikubwa wameishia kukatisha tamaa tu. Lkn wewe umekuja na mtazamo wa fikra yangu. Kwamaana naamn Kila sehem Kuna fursa.
  4. BASANORARE

    Ubalozi wa Marekani wawataka raia wake kuepuka kusafiri kwenda visiwani na maeneo ya Pwani kusini mwa Kisiju, Tanzania

    Kwa upande wangu: Marekani hawezi kutoa tahadhari pasi na kujilizisha na hali ya mahala hapo kama SI shwali kwako au kwa watu wengi. Hata ukiangaazia Africa kwa ujumla wake. Marekani amekuwa akitoa tahadhari hata kuhamisha watu wake kutoka eneo la hatari hata kabla ya tukio jenyewe. Lkn pia...
  5. BASANORARE

    FULL TIME: Young Africans SC 3-1 TP Mazembe| CAF CL |Benjamin Mkapa | 04.01.2025

    Mwenye picha ya Uzi wa warm up wa yanga Leo niwekee dm au hapa
  6. BASANORARE

    Jamii namba

    Habari wakuu Kuna hii habari ya serikali inataka kuja na jamii namba. Sasa wakati naangalia UTV habari kwenye maelezo ya hiyo jamii namba umeme ulikata kwahiyo sikuielewa. Na hapa nimekuja kuona kama Kuna mtu kaiandika labda lkn naona hola. So naomba kama Kuna mtu anamaelezo yake anishushie...
  7. BASANORARE

    Ukitupia mil 15 unavuna sh. Ngap kwa Kila miezi mitatu?

    Bado Kodi hapo hujaweka mkuu nayo ipunguze inabaki kama tsh399,750
  8. BASANORARE

    Dunia inautulivu fulani kabla mfalme wake mpya kuingia madarakani mnamo Januari 20, 2025

    Kama imetabiriwa Kuna haja gani ya kuomba Ili kiwe na mwisho mwema. Kama ipo kwenye biblia takribani miaka 2000 imepita sasa maombi Yako yatafaa nn?
  9. BASANORARE

    Nauli ya likizo kwa mtumishi wa umma

    Simple chukua form ya likizo jaza Kila kitu utakione humo Kisha ambatanisha cheti Cha ndoa na andika dokezo la kuomba kiasi hicho Cha nauli Cha kwenda na kurudi kwa nauli za latra. Au kama vinasumbua mfuate afisa utumishi.
  10. BASANORARE

    Nawezaje kujilinda na kujikinga dhidi ya magonjwa ya FIGO

    V yakula gani vina sodium kwa wingi?
  11. BASANORARE

    Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

    Boda boda umewadharau sana kwa andiko hili. Lkn hebu nenda kwenye uhalisia kwa boda boda ambaye anajijali na kupenda kazi yake. Ambaye ana pikipiki ya mkataba analipa TSH 10,000 kwa siku na hapo anaweka mafuta anakula na anafanya maintenance ya chombo. Je unahisi anaingiza kiasi gani hapo...
  12. BASANORARE

    Kwanini Watanganyika Mamilioni Kwa Maelfu Wanaipenda CHADEMA, Na CCM Inalazimisha Watu Waipende? Gen Z Inahusika?

    Naamini chama Cha siasa kinahitaji watu Ili kiwe chama imara na kiweze kutimiza lengo namba Moja la kuchukua uongozi katika jamii husika. CCM na chadema ni vyama ambavyo vimejijenga katika mitazamo miwili tofauti na hii ndio inafanya tuone mhemko wa kisisiasa uliopo Leo. CCM inaamini katika...
  13. BASANORARE

    Nimeponea tundu la sindano kufa. Serikali ichukue hatua, kuna mlipuko unaua kimya kimya

    Mkuu hujakutana nacho mm kalinipitia mwezi wa nane katikati. We kisikie tu kwa watu aisee.
Back
Top Bottom