me niliambiwa zipo standard chartered london branch, nikawacliana na standard chartered wa ukweli wakasema hakuna wafanyakazi wenye majina kama waliyonipa wale wadada...nikampotezea fasta, kwanza akupe tu hela zote hzo na hakujui? hata kichaa hatoi.
dada acha mawazo mgando hayo.dunia ya leo co kuendelea kumtegemea mwaume..pigana upate chako na heshima itakuwepo kuburuzwa utakuckia tu kwa watu ila kwa mawazo bora awe na hela cz hutakula sura means we unategemea uletewe hahaha utajikuta jamvi la wageni cz watakuona kama huna future vle. ni...
huyo mjaa ako na matatizo khaaah! Kazoea kuchunwa hahahaha...halafu watu kama hao wanajua kulalamika wapenzi wao hata maji hawanunui wakiwa out. Atalalamika hapo utadhani anakata roho! Duh kweli mzoea vya kunyonga vya kuchinja haezi.
kama kukosea ushakosea na ushahidi ako nao so we nenda ukubali kwamba umekosa, then omba msamaha, kisha badilika cz nxt tym hata kauaminifu katako salia katapotea...msamaha hauuwi ila unaonesha vle uko wamjali na wamthamini that yf of yoz!
inategemea na makubaliano na mcmamo wenu katika hayo mahusiano...hata hvo kuwahi co vizuri cz hujamjua vema huyo mwenza ako matokeo yake ndo utakuta kuna watoto wanaitwa wa bahati mbaya,mara wa ujana na hao kujaliwa ni vigumu! Wait had umtambue ukiachana na mimba, maradhi mengi.
kutoa ni moyo co utajiri...kama uwezo wa kukaa nae upo coni tabu hapo mumeo yuko na ubinafsi kitu ambacho c kizuri katika mahucano n ubinafsi unaeza vunja hata ndoa...kipato kidogo hajui kama kipato kikiongezeka na majukumu huongezeka so akingoja hela zwe nying hatasaidia ndugu.co msaidiaji huyo
sijaona kosa hapo, nadhani yule mama aliwasimulia rafiki zake kuhusu uhusiano wako na familia ile sasa kilichotokea ni aidha rafiki zake walimwambia huyo atakuja kurith na mali au atakuja akuibie mumeo...kuhusu huyo binti nadhani aliona ugomvi kati ya mama na baba,mama akitaka uhusiano na...
(a) kuwa na mahusiano kimapenzi na mtu sahihi katika kipindi kisicho sahii mf:shuleni
(b) kuwa na mahusiano kimapenzi na mtu asie sahihi katika kipindi sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.