Iweje leo hii unaiweka wazi muktadha huu ilihali mlishalishana kiapo cha kutunza siri yenu???
mbili, Nduguzewa Mpemba waisomapo habari hii huoni italeta mtafaruku kwa jamii yao husika?? Ama umeficha majina yao Halisia???
Ni hayo tu kwa sasa
Mara baada ya upembuzi yakinifu toka kwa timu ya mainjinia, kuja kutafiti waliona hiyo picha namba moja ni ngumu sana kudumu kwa muda mrefu kwa maana hilo ni Mayai zaidi, kwa hali ya reli yetu watuletee hayo ambayo yatakuwa mazuri kwa mazingira yetu na yatadumu kwa muda mrefu.
Kwanza wangehakikisha maviwanda yote Nchini yanatumia hiyo gesi kama nishati kuu, kisha wazalishe LPG ishuke bei 50% ilivyo hivi sasa. Mara baada ya hapo ndo wafikirie kioeleka Nairobi, kampalaa na kwengineko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.