Recent content by BarTender

  1. BarTender

    Natamani kupenda tena

    Upe muda nafasi, Wala usifosi, Atakuja bila mikosi.
  2. BarTender

    Uzoefu wangu toka nikiwa mdogo wa kutembea na wake za watu na athari kubwa nliyokuja ipata

    Oa mwamba nasi tukupe maumivu, Mimi ni Mbwaaa ila wewe ni Mbuzi kwa kizungu
  3. BarTender

    Kama kuna somo linawafundisha wanawake wa Kiislam Usafi na Mapenzi basi Somo hilo liwekwe kwenye mitaala ya elimu waelimishwe wanawake wote

    Nimekuelewa kamanda, Wanawake wa kiislam ni wasafi na wanajua kumhandle mwanaume. Na wachache sana kuona wana uharakati kwa wanaume
  4. BarTender

    Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

    Kaka UMUGHAKA Naomba uinganishe nyuzi hizi,kisha naoomba ile ya Ally Mpemba maana niliishia sehemu ya 21…
  5. BarTender

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Iweje leo hii unaiweka wazi muktadha huu ilihali mlishalishana kiapo cha kutunza siri yenu??? mbili, Nduguzewa Mpemba waisomapo habari hii huoni italeta mtafaruku kwa jamii yao husika?? Ama umeficha majina yao Halisia??? Ni hayo tu kwa sasa
  6. BarTender

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Kaka UMUGHAKA naomba unifahamishe ujapo kumalizia uzi huu. kuna vitu najifunza sana
  7. BarTender

    Behewa za SGR zaanza kuwasili nchini Tanzania

    Mara baada ya upembuzi yakinifu toka kwa timu ya mainjinia, kuja kutafiti waliona hiyo picha namba moja ni ngumu sana kudumu kwa muda mrefu kwa maana hilo ni Mayai zaidi, kwa hali ya reli yetu watuletee hayo ambayo yatakuwa mazuri kwa mazingira yetu na yatadumu kwa muda mrefu.
  8. BarTender

    Mchungaji Masanja: Japo nimeokoka ukinijibu Fyongo na mimi nakujibu Fyongo, mambo ya kugeuza shavu lingine hayapo!

    Imeisha hiyo, hizo akili ya kupitwa na wakati nahisi anamwambia maneno hayo Mzazi mwenzake.
  9. BarTender

    Ngoja niropoke

    Kula miwa popote hapo nalipia kwa pesa ya tozo.
  10. BarTender

    Nimeamini Tanzania yangu kuna watu wana hela

    Huyo waziri ni yule wa Maliasili, ila anakula nyagi???
  11. BarTender

    Uwezo wa Freeman Mbowe unafikirisha sana, karibia wapinzani wote Afrika wanaingia Ikulu

    Nadhani sisi wananchi ndo matatizo na si Mh. maana kashapamban na yote wananchi ndo tunawazingua viongozi, na si wapinzani tu hata walio madarakani.
  12. BarTender

    Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

    Kwanza wangehakikisha maviwanda yote Nchini yanatumia hiyo gesi kama nishati kuu, kisha wazalishe LPG ishuke bei 50% ilivyo hivi sasa. Mara baada ya hapo ndo wafikirie kioeleka Nairobi, kampalaa na kwengineko
Back
Top Bottom