Recent content by barry black

  1. B

    Maafande hawa wapo wapi?

    Namkumbuka Saba Sita alivyokuwa akitukimbiza na mbwa pale uwanja wa Sheikh Amri Abheid wakati wa mechi za mpira mf Ndovu na Aicc jamaa hakuwa na utani katika kazi. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. B

    Vitabu nilivyosoma mwaka 2018 – Zitto Kabwe

    Tafadhali unaweza kutusaidia namna unavyoweza kusoma kwa speed, halafu yanakaa kichwani, wakati nafahamu fika una majukumu makubwa ya kisiasa na kitaifa.Maarifa haya yatasaidia wengine ambao tunasoma vitabu kumi kwa mwaka tuongeze bidii ya kuchuma maarifa zaidi.Pengine itasaidia kuelewa hata...
  3. B

    SANAMU YA MNYAMA SASA INAPUMUA

    Nakupongeza kwa maandiko yako
  4. B

    Ukweli kuhusu alama ya mnyama

    Great talk
  5. B

    Miaka 5 baada ya kifo cha mzee Moses Kulola: EAG(T) inaangamia

    Moses Kulola alikuwa mtu wa Mungu kwelikweli nilihudhuria mikutano yake nikiwa kijana mdogo nilibarikiwa sana na hivi majuzi nilisoma kitabu chake(autobiography), kina historia ya pekee sana Mungu ajalie kanisa hili kusimama lisianguke Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    Ubongo unavyoathiriwa na kuharibiwa na vitu tunavyotazama!

    Bila kuwa na hofu kwa Mwenyezi Mungu jambo hili ni gumu sana kuondoka.Hii ni moja ya njia,lakini kwangu naona ni muhimu sana
  7. B

    MINDFULNESS; Jinsi kuzurura kwa akili zetu kunavyotugharimu kwenye maisha na jinsi ya kuzituliza akili zetu

    Umenifurahisha sana rafiki yangu umeweka mada ambayo ndiyo kipenzi katika maisha yangu.Jambo hili la mindfulness nililifahamu vizuri baada ya kupata changamoto kubwa ya kitu kinachoitwa Generalized Anxiety disorder(GAD) Daktari mmoja pale Muhimbili alinisaidia sana anaitwa Dr Horgan alinipatia...
  8. B

    Hivi lengo la Mungu kuhusu zaka ni nini? Niko kanisani naambiwa nitoe kwenye mshahara 'net'

    Unatakiwa zaka itoke kwenye gross na siyo katika net kama wanadamu wanapewa kutoka kwenye gross kwa maana ya kodi habari gani Mungu kupewa kwenye net? Naye Mungu wetu anapaswa kupewa kwenye gross maana ni Mkuu kuliko wanadamu
  9. B

    Lowassa kafungua mlango wa majadiliano na utawala wa Magufuli kwa vyama vya upinzani, asibezwe, apongezwe

    Ahsante kwa kuwa positive katika hili.Umeweka mtazamo chanya wa maendeleo katika nchi yetu.
  10. B

    Kuomba maombi ufanikiwe, upate mke/mme ni upuuzi!

    Hii ni hatari Watu wengi wanafikiri maombi ni badala ya wajibu.Hilo ni jambo lisilo la kweli.Abraham Lincoln raisi wa 16 Wa Marekani alisema hivi."I worked as if everything depended upon work And i prayed as if everyrhing depended upon prayer".Tafsiri yake ni kwamba Nilifanya kazi kama kila kitu...
Back
Top Bottom