Moja ya maswali ambayo yanawatatiza watu wengi wakitaka kuanza kujifunza forex trading ni kuwa ajifunze kwa nani, na je kweli huyo mtu anayetaka kujifunza kwake amefanikiwa kwenye ambacho anataka kujifunza. Watu wamekuwa wengi sana mtandaoni wakijinadi kuwa wao ni trader na wamefanikiwa sana...
Moja ya maswali ambayo yanawatatiza watu wengi wakitaka kuanza kujifunza forex trading ni kuwa ajifunze kwa nani, na je kweli huyo mtu anayetaka kujifunza kwake amefanikiwa kwenye ambacho anataka kujifunza. Watu wamekuwa wengi sana mtandaoni wakijinadi kuwa wao ni trader na wamefanikiwa sana...
Moja ya maswali ambayo yanawatatiza watu wengi wakitaka kuanza kujifunza forex trading ni kuwa ajifunze kwa nani, na je kweli huyo mtu anayetaka kujifunza kwake amefanikiwa kwenye ambacho anataka kujifunza. Watu wamekuwa wengi sana mtandaoni wakijinadi kuwa wao ni trader na wamefanikiwa sana...
Hakuna biashara rahisi hata kidogo nashangaa kuona watu wengi wakitoka negative sana kwenye hii biashara ila cha kushangaza kila siku ng'ombe zinachinjwa na nyama inalika. Kwani wao wanaofanya sio watu na swali la msingi nikujua jinsi yakupambana na changamoto hizo za biashara full stop. Muomba...
Pole sana kaka,, ila kwa sasa hv nashauri kabla hujanunua kiwanja pia angalia ukubwa wa viwanja vya eneo husika, ukiona viwanja ni square mita ndogo mfano 400 jua kabisa ilo eneo makazi yake yatabanana tu, so ni bora kutafuta eneo lingine, tena kwa sasa hv makampuni yakuuza viwanja yalivyo mengi...
Aloo
Shukrani kaka kwa mawazo yako, yote nayaona mawazo bora hata kwa ambae anataka kufanya biashara ila chakuongezea ni kuwa biashara zote zonahitaji muda ni muhimu kwa biashara ambayo utaichagua ukaipa muda wakutosha ili kuona matokea bora
Naona kitu pekee cha kujifunza hapa ni kuwa wao (UTT) wanavyoichukua hiyo pesa yako wanaenda kuiwekeza wp? mpaka wapo sure kukupa hiyo 1% kila mwezi. Then unaweza kuja na plan ya ww kwenda kuwekeza huko wanapoenda kuwekeza wao.
Alafu huyu Imack ni mbongo kabisa hapa hapa TZ, so hapa inamaanisha kuna vitu anavijua na kwa ambae anapata loss havijui, watu wakae chini wajifunze kwa waliofanikiwa, sio kwenye forex tu but kwenye field yoyote ile ukijifunza kwa aliyefanikiwa na we chance yakutoboa ni kubwa sana. All the best
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.