Recent content by barnabas masoko

  1. barnabas masoko

    Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport

    Hivi wa kututetea watanganyika tutamtoa wapi
  2. barnabas masoko

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hivi kipindi Cha magufuli iliwezekanaje umeme kutosumbua kwa miaka yote akiwepo madarakani,Nini kimebadilika ambacho hakikuwepo kwenye utawala wake kimefanya mpandishe Bei ya umeme je nyinyi sio sehem ya HUDUMA na ni anasa kwa mtanzania ?
  3. barnabas masoko

    Kasi ya CCM kuchukua mali za Umma Mbeya Mjini inatia mashaka na kuleta taharuki kwa Wananchi

    Mbeya mjini kwa Sasa Kuna ligi kubwa Sana ya kutwaa maeneo ya umma kama masoko na viwanja vingi Soko la mabatini lishachukuliwa kwamba ni Mali yao soko ambalo kimsingi mi eneo lililotolewa na WANANCHI kwa ajili ya maendeleo yao. Soko la ikuti ccm imelichukua na kutamgaziwa kuwa ni Mali yao na...
  4. barnabas masoko

    Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

    Hii hoja mkuu mbona sio jambo la kuitaji huruma
  5. barnabas masoko

    Idara ya maji Mbeya ubabaishaji umezidi mnoo

    Toka mwezi wa 12 mwaka 2020 inasemekana hamna mita za kuunga wateja wapya na mnawapa mashart ya kutoa 250000 muwaungie maji au wasubiri mita, hizo za kulipia zinatoka wapi. Nina zaidi ya wiki tatu toka nilipie nmezungushwa miezi miwili nikihitajika toa hela hiyo au nisubiri maji kuunga Mbeya...
  6. barnabas masoko

    Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

    Nimejiunga Kwa Hawa jamaa bana Leo siku ya tatu nasubilia mwezi hapa nijue kitachofuata baada ya kupewa taarifa na mtu wa kalibu na kuona alivhopiga pesa
  7. barnabas masoko

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    NATO ilichukua makao makuu ya nchi na sio Iraq yote mkuu kuna mikoa haiijui hyo vita huko Iraq haikufika kabisaa
  8. barnabas masoko

    Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

    Hahahaa hao Azov ndio wanaanza saiz pole mkuu hao ni wahuni hatari vitani america anawajua hao ndio maana hatii mguu
  9. barnabas masoko

    Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

    Hizi ni propaganda ndogo sana muandaaji hakujipanga na hakujua dunia imesogea mbele
  10. barnabas masoko

    Balozi wa Urusi asusia kikao cha Umoja wa Mataifa (UN)

    Mi nazani kama wanakufa si ndio furaha na ushindi kwa Ukraine shangilia bila Julia aisee dawa inavoingia unaihisi kabisa
Back
Top Bottom