Recent content by Barnaba Bushiri

  1. B

    JamiiForums Tanzania Rais wa vijana Tanzania: Spika Ndugai achunge ulimi wake

    Daah! Rais wa vijana?
  2. B

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

    Duuuh! Ukiona kila nyuzi ni taratibu taratibu, ujue huyu jamaa kuna sehemu aidha kawabana watu korodani au ana kitu kichwani.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Nchi za Magharibi zinalenga kuzigawanya nchi nyingi za Afrika?

    Huyu Abby Skills si alipewa tuzo ya Nobel huyu?
  4. B

    JamiiForums Tanzania After Portugal Now Sweden Bans Travellers From The Most Vaccinated Nation Israel

    If that so! Is there any reason for someone to be vacinated?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

    Mamlaka tayari zimeonesha hali ya kushindwa kueleza umuhinu na usalama wa chanjo, kuwarudisha wanainchi kwenye mstari itachukua muda. Jambo la kijiuliza kama kuna maelezo toshelevu na yenye ukweli kwanini wanainchi wayafuate maelezo batili? Tunalo jambo la kujifunza hapa aidha kuna mahali...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Napinga CWT kukusanya maoni ya walimu ya kuunda bodi ya walimu

    Nadhani watu tunatakiwa kujielimisha kuhusu tofauti ya chama cha wafanyakazi na bodi ya kitaaluma ya taaluma fulani. Hapa utakatwa kote, chama cha wafanyakazi wanachukua tozo zao na kwenye bodi utalipa.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Napinga CWT kukusanya maoni ya walimu ya kuunda bodi ya walimu

    Leseni ni jambo la kawaida ni kweli kwani hata kada nyingi hufanya hivyo, lakini hapa tatizo linakuja pale unaposema hii leseni lazima uhuishe kila mwaka. Ukiwa na akili angalau ya upili utajua lengo hapa ni kukusanya pesa kila mwaka. Wangeweza weka interval angalau kila baada ya miaka mitatu...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Napinga CWT kukusanya maoni ya walimu ya kuunda bodi ya walimu

    Ndugu Mwalimu CWT hawachukui maoni ili bodi iundwe, Serikali ishaunda Teachers Professional Board na sheria ya kuundwa kwake tayari imeshapitishwa bungeni. Ikatengeneza kanuni zitakazoongoza na ya uendeshaji wa hiyo bodi na wakazipeleka kwa kuwaita kuzijadili hizo kanuni, miongoni mwa wadau...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini mbunge Musukuma anapenda kuwadharau wasomi wetu?

    Tatizo matarajio ya wasomi wetu ni makubwa, wanatamani kama wangeweza wabebe degree zao kichwani zionekane huku miguu ikiwa imepauka na kunuka vikwapa. Msomi asiejua kutatua changamoto zake mwenyewe ni bure kabisa, hauwezi fanana na darasa la saba mwenye uwezo wa kuboresha hali yake.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Hamis Tabasamu, Mbunge wa Sengerema usichokoze hisia za watu

    Tabasamu yuko sahihi! Kuwekeza kwenye kuwaza lazima uajiriwe serikalini ni kujiongezea pressure. Ukiajiriwa accidentally nzuri lakini kama hujaajiriwa na serikali isiwe nongwa. Lazima watu wazoee haya maneno ya kutoajiriwa na serikali mapema ili huu msamiati usiwe mpya kwao.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Maafisa usalama 3 wa Palestina na 1 wa Israel wauawa

    Nipeni elimu kuuawa shahidi maana yake nini?
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kukata kodi ya jengo kwenye LUKU, watakaokuwa walipaji wakuu ni wapangaji na si wamiliki tena

    Kabla ya kusema jambo lolote ni bora kujiridhisha walau kwa uchache, sina hakika kama kumbukumbu za mwenye nyumba (Mmiliki) zitaambatanishwa na mpangaji wa nyumba au jengo. Waliopitia kama ni sheria au miongozo za namna ya ulipaji wa kodi za majengo watuletee ufafanuzi kidogo ili tuweke kwenye...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Joseph Kasheku Msukuma sema chochote maombolezo yameisha

    Ni gumu sana hilo hasa kama hauwezi vumulia maumivu ya tumbo.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

    Kwa akili ya kawaida ulichokiandika ni ngumu kukiona na kukielewa, unahiitaji jicho pevu sana kuelewa unamaanisha nini.
  15. B

    JamiiForums Tanzania Lini Tanzania itapata kiongozi kama Hugo Chavez? Watanzania hatunufaiki na rasilimali zetu

    Wewe unaona Hugo Shavez alikuwa kiongozi bora, lakini machoni kwa wakubwa huyu ni dictator mpaka wakampandikizia cancer.
Back
Top Bottom