Tatizo siyo lugha bali mimi nahisi ni kiburi la jiwe kwani hata Putin hajui kiingereza bali alitumia wakalimani alipokutana na trump,jiwe ana aina Fulani ya kutokujali kbs, ingekuwa enzi za jk tungeshuhudia hadi ngoma zikichezwa kbs any way tusilaumu sana may be ndio bwana baraka alipenda iwe hivyo
Sasa mkuu kipindi unapiga nyeto hukuwa na akili ya kuuliza kwa great thinkers kuhusu madhara yake?ila usikate tamaa tafuta hela then mwanamke utampata tena hatakusumbua kbs
Umetumia ID ya mkeo?yaani mwanaume tena mwenye ndoa unajiita MDESI?au we ndio mke na unamlalamikia mmeo?toa kwanza huo utata then tuendelee na mada yako
Hata kiwanda cha Sayona fruit ndio wanazindua kesho?wakati hizo product za sayona zilikuwa sokoni tangia 2010 kipindi hicho nilikuwa mwanaume wa dar,kama hali ndio hii basi hizi namba za viwanda vipya tunazoambiwa kila siku zina utata sana
Mkuu mshana ,kadri siku na miaka zinavyoenda ukijumuisha na masuala ya elimu na utandawazi inasemekana kuwa nguvu za uchawi na uganga zinapungua sana mfano waganga wa zamani walikuwa na nguvu sana but siku hizi wenye nguvu ni wakubahatisha ni yapi maoni yako kwenye hii hoja?
Mkuu mshana, kuna watu wakati wakuombewa na viongozi wa dini hupoteza fahamu na baada ya hapo huanza kuongea kwa sauti tofauti tofauti sauti hizo zikijieleza kuwa sisi tumetumwa na Fulani etc je huwa ni kweli au ni sawa na ramli chonganishi?
Mkuu ,kuna siku huwa mtu anaamka asubuhi akiwa amechoka sana na baadhi ya viungo vya mwili kuwa na maimivu,je mchawi anaweza kukufanyisha kazi bila ya wewe kujielewa na kukurudisha kwenye hali ya kawaida?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.