Wala usitafte fundi kiongozi mchawi ni hiyo AC maana binafsi kabla sijafunga Ac ,matumizi yangu yalikuwa umeme wa 10,000 ambazo unut 28 natumia siku 5 ,hapo friji halizimwi ,na feni kwangu ziko tatu na makorokoro mengine ,inamana nilikuwa natumia Unit 5.6 kwa siku ,
Ila nilipofunga Ac chumbani...