Recent content by Barikiel

  1. Barikiel

    Kataa ndoa vs kubali ndoa (online poll)

    Mimi nakataa wasione kwasababu ndoa inafungwa leo baada ya wiki mbili wametengana hapo hakuna ndoa zaidi ya kusumbua Wachungaji na Mapadri kila uchao wakae hivyo wapigane miti wazae. Hii ya kumchezea MUNGU hapana.
  2. Barikiel

    Mjadala: 'Namna ya Kutambua na Kuepuka Utapeli Mitandaoni' - Septemba 21, 2023

    Jamani Akaunti yangu ya instagram ime dukuliwa nifanye je
  3. Barikiel

    Natafuta mume, awe HIV+

    Utapata madam ume sema hitaji lako wapo wenye uhitaji kama wewe
  4. Barikiel

    Je, ni sahihi kurithi na kuvaa nguo za marehemu?

    Leo ndo unajua kama kuvaa nguo za marehem ni vibaya. Hayo mamitumba unajutundika kila kukicha unajua yametoka wapi? Mara ya mwisho wewe kuingia dukani ukanuna nguo mpya ni lini. Tuanzie hapo.
  5. Barikiel

    Serikali yaanza uchunguzi wanafunzi kufundishwa ulawiti

    Hivi vitu wanaiga kutoka huko kwa wenzetu. Na ikibainika haya mambo Yana ukweli basi naishauri Serikali ifanye kama alivyo fanya Mwalim Nyerere kuzitaifisha ziwe Mali ya Serikali kuliko hichi kizazi Kinacho tengenezwa.
  6. Barikiel

    Madhara ya kufumbia macho haraka za Madereva

    Kweil ngoja niweke mfano wa tarime hapo hii siyo probox
  7. Barikiel

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Hawa watu weupe naona Sasa wanaona kama MUNGU amesinzia maana siyo kwa dharau hizi. Yani wamejaribu kubana mataifa kujiunga naku kubali ushoga wanaona haitoshi wameamua Sasa wapeleke mtaala wa kishoga tena kwa Hawa Malaika. Tukemee jamani. Watanzania mnaoishi huko mambele rudisheni Watoto waje...
  8. Barikiel

    Madhara ya kufumbia macho haraka za Madereva

    Huyo wa kushoto aliekuja anachukua video sidhani kama tunae. Huyu aliekua nyuma ya Dereva ndo atakua kaweka na huu ushahidi kabisa.
  9. Barikiel

    Madhara ya kufumbia macho haraka za Madereva

    Kama ndo hivyo yakitokea yaku tokea wakae kimya Sasa.
  10. Barikiel

    Madhara ya kufumbia macho haraka za Madereva

    Ifike mahali abiria wanapo ona Dereva anaendesha gari mwendo ambao sio mzuri wajisimamie na waache kuja kusema mwendo ilikua mkali.
  11. Barikiel

    Uzalendo kama huu, sio rahisi kuupata popote hapa Afrika, majirani ipendeni nchi yenu

    R.I.P Baba wa taifa. MUNGU Alimleta Tanzania kwa makusudi maalum.
  12. Barikiel

    Coronavirus: Familia ya Mwanasiasa Mkongwe yapukutika

    Kuna mtia nia mmoja kule Kilimanjaro alisema akichaguliwa atajenga ukuta kuziba mlima Kilimanjaro hao panya buku wasiuone, sijui kama alifanikiwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nilimuelewa sana yani. Piga Nyundo kabisa hao.
Back
Top Bottom