Recent content by Baraka John Kereja

  1. B

    Wenyeji wa Tanga hapa ni wapi?

    Hii ni Lushoto.Tena ni maeneo kati ya Leshoto mjini na Soni.
  2. B

    Hii ni kick ya wazi kwa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete

    Ilifika wakati kunawatu walikuwa wanaona JK anachelewa kutoka pale nyumba kubwa na wengine walisema hataki kukabidhi uskani wa gari la kijani.Yeye mwenyewe kumbe alikuwa anajua kuwa dereva anaeng'ang'aniwa ni "L". GARI sasa linayumba mbaya.Mpaka litakapikita na kusimama tutahesabu majeruhi na...
  3. B

    Kunanini? Clouds fm yapotea hewani gafla

    Namimi nashangaa,clouds kimyaaa
  4. B

    Je, NAS Haulage kamhonga gari Paul Makonda ili asisumbuliwe kuhusu tuhuma za madawa ya kulevya?

    Huo mtiririko wa Mange ni balaaaa,kila kitu open wazi.
  5. B

    Ukweli Mchungu kuhusu anayejiita Mdogo wa Gwajima

    Kijana inajimaliza yenyewe kupitia hiki wanachoita mageuzi
  6. B

    Makonda aenda likizo Afrika Kusini kwa zaidi ya miezi miwili

    Huwa nasikia Mungu huwa halali wala hachoki,huyu ni mungu 1 anakwenda likizo.
  7. B

    Tetesi: Sakata la Zanzibar lawagawa CCM, watendaji serikalini

    Safari bado nindefu,duuuu full mark time.
  8. B

    Kwa wale wanaotokea Kondoa; Tujadiliane kuhusu maendeleo ya wilaya yetu

    Umenikumbusha hicho kijiji,Ukitoka chemba unaingia hapo.
Back
Top Bottom