Team yetu imeharibika baada ya kuuzwa, kwa hawa matajiri wa sasa. Maana wao wapo kibiashara zaidi, wamefanya sajili nyingi ambazo hazijatupa matokeo bora zaidi. Mfano msimu huu wachezaji tuliosajili na wakafanya vizuri ni mmoja tu Joao Pedro. Wachezaji wengi waliosajiliwa hawana sifa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.