.,F ya namba isikuzingue.,kuna jamaa nilisoma nao HGE enzi hizo walikuwa na F ya Math now wapo SUA wanapiga AEA.,but inabidi ukaze bam utusue la sivyo majanga yatakukuta mbeleni.,ukienda advance pga msuli kweli mambo yanawezekana.,JUST BELIEVE IN YOURSELF U CAN REACH ANYWHERE YOU WISH.,