Kwa muda uliopita nilitarajia kuwa ningekuwa nimezoea, Actually hata nikijaribu kupotezea na kukubaliana na ukweli bado inaniwia vigumu.
Kadidri ninavyofanya juhudi kusahau ndivyo uchungu hunikamata na kujikuta nikitokwa na machozi.
Habari ndugu na Jamaa,
Napenda kushare kwa wanajamii forums jinsi ya kunisaidia kusahau au kupata relief ya kumbukumbu ya rafiki yangu..
Hatukusoma pamoja shule ya msingi ingawaje tulitoka kijiji kimoja. Tulibahatika kwenda shule moja ya sekondari wakati huo. Tukawa marafiki wa kushibana kwa...
Hili si la Uongo, nimekutana na Kijana Mzaliwa wa kariakoo mwenye Familia yake, hakuna sehemu nyingine anayoijua zaidi ya Kariakoo, Ilala, Magomeni na Posta yenyewe..Kwa sasa ndiyo ameanza angalau kutoka anaeza kwenda Maeneo mengine nje ya Mji...
Kupitia page yao ya Instagram, Kampuni ya usafirishaji Baharini ya Azam marine inayomilikiwa na Mzee Said Salim Bakhresa, imetangaza rasmi ujio wa boat yao mpya iitwayo Kilimanjaro VIII iliyopewa jina la FALCON OF THE SEA.
Boat hiyo mpya kabisa iliyotengezwa nchini Australia inatarajia kuwasili...
Habari Kiongozi.
Bandari Dar kwa wauza ticket hawakatai namba ya Nida.
Tatizo mamlaka ya Bandari haijaweka machine ya kutambua vitambulisho hivyo basi wahudumu wanataka vitambulisho phisically ili kuthibitisha.
Ndiyo maana mara nyingi kama ikitokea situation kama hiyo watakushauri ufuate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.