Akimnadi Magufuli ndiyo itakuwa mwisho wa game.Vema awasafishe wengine kwenye list of shame amuache Lowassa na aombe msamaha kwa Mh.Rais kwa kauli zake za nyuma na akiri udini alioufanya kwenye last election
Mimi nadhani ifike mwisho sasa.Kwa nini tubakie na neno fisadi kila siku mpaka inaonekana ni jina la Mh.Lowassa.Hapa kuna jambo kubwa ndani.someone somewhere must come out openly na kuweka mambo hadharani.
Very good.....anayo mamalaka mpaka ile siku bendera ya rais mpya inapandishwa.Mh.Rais tuko nyuma yako waoneshe hekima yako ya kufanya hivyo.siyi lazima kuwaiga marais waliopita....VIVA Presida.
Bravo Daktari Slaa...lakini nijuavyo UKIMYA ni silaa nzuri sana.Watu wengine hawampendi Dr.Slaa hivyo tuiombe Serikali impatie ulinzi ie tuwe na kikosi maalum cha kumlinda Dr Slaa na wajengewe nyumba zao karibu na nyumbani kwa Slaa Dr.
Regina ni mrembo na anaonesha ana huruma..tena ni msomi wa Korogwe Girls wakati uleeeeee.Uso wake umejaa bashasha na anaonekana siyo mpenda wapambe wala mijimama mimbea
To:Chakaza....mbona nashindwa kuamini kama Mzee Makamba amewahi kusema Nape hafai duniani wala mbinguni....sababu ni;mazishi ya baba yake Nape yalisimamiwa na Makamba....Nape na Makamba wapo chama kimoja....Makamba anamuogopa Nape kwa mitusi
Gentamycine......Mbona inakuwa vigumu kukuelimisha kuhusu kujadili afya ya binadamu mwenzako.Hiyo ni kazi yake MUNGU peke yake.Nakuomna usikilize ule mwimbo wa kipindi cha wagonjwa kinachorushwa na Tbc.
Ok tukubali Lowassa ni mchafu....then what is the way forward..
Kwenye List of shame kwa nini yeye peke yake anazungumzwa....
Je ni kwa sababu anagombea uongozi,kama ndiyo vipi kuhusu walioko madarakani na wametajwa kwenye list..
Chadema wako strategic saana,walijuwa EL atakuwa next Presida...
Huwezi kupunguza...hiyo ni NATURE....lazima wafe ili wengine wapate chakula ni kama vile sisi na ngombe..mbuzi etc etc.halafu wanazaana saana saana na mwisho ni wajinga sana hawa Nyumbu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.