Shame kwa kiingereza na ni aibu kwa kiswahili.Elimu....Elimu....Elimu.Kwa namna hii hatutakwenda kokote.Watu wanataka maridhiano ili tuwe na amani huyu Mh.Mbunge hataki maridhiano...ni kama anazima moto kwa Petrol.Uchochezi ..ahojiwe na polisi na ashitakiwe.
MwenyeziMungu ndiye Custodian wa afya zetu na uhai wetu.Hakuzaa wala hakuzaliwa na hana Mshirika..na kwake sote sisi tutarejea.Tafakari maneno haya na kaza buti kwenye kufanya IBADA.
Jamani chonde chonde na UKUTA....naona mahakama ya ICC inakuja na sijui kama tunao kina Kibatala na Tundu Lissu wengi.Tuongeeni yaishe.....nyiye viongozi wa dini muko wapi...????hasa wale wa kamati ya Amani.....hatupendi sura zenu kwenye TV....Tunataka mayendo yenu ya kimaliza hili la Ukuta salama.
Hapa nipo nachora picha ya UKUTA kwenye daladala langu.....Je ni kosa kisheria..????nijuzeni ili nisiingie matatani.Lakini ukweli naunga mkono ukuta mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.