Recent content by bankobeza

  1. B

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Katika kipindi hiki,kuhama ka EL na kupewa Bango la Urais; ukimya wa Dr na uwezekano wa CUF kufa Tz Bara ji chachu na pilipili kwani havichanganyiki! Mwaka 2015 si lelemama.
  2. B

    Kuna nini Huko nje, Mbona hii milio ya Ndege si ya kawaida?!

    Mods mnafuatilia mchango mtandaoni?
  3. B

    Jinsi ya kupata ujumbe na simu za mtu mwingine

    Pengine una ugomvi na mkeo? Hata hivyo siyo solution.
  4. B

    Tanzania tuliivamia DRC kuwatoa M23 mbona kigugumizi kuwang'oa Alshaabab?

    Nadhani wewe SIYO MTANZANIA. Huna nia njema na Tanzania. Concentration sasa SIYO UJINGA HUO!
  5. B

    ACT - Wazalendo haina uwezo wa kuchukua jimbo hata moja Kigoma

    Asante kuniongezea ziada. Vyama vya Kikabila hata Nyerere alivilaani! Havitafanikiwa nchi hii.
  6. B

    ACT - Wazalendo haina uwezo wa kuchukua jimbo hata moja Kigoma

    Nadhani tusiwe wepesi kukiamuria chama,tusubiri wakati ukifika. Mashaka yangu ni juu ya CDM Wakabila. Hata Uhayani mwaka huu hawatapata kitu. Wanataka kuwasimamisha Wachagga kama wagombea wakati Wahaya wapo!
  7. B

    Sakata la Gwajima na Polisi: Ahojiwa kwa masaa matano, atakiwa kurudi wiki ijayo

    Atapekuliwa mpaka. Baada ya hapo wataangalia uraia wake hasa wa mkewe.
  8. B

    Silinde akanusha yeye na Wenje kufanya maamuzi magumu muda ukifika

    Habari gani hizo? Tukumbushe tafadhali
  9. B

    Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

    Uhuru wa Siasa ni tofauti na Uhuru wa Kuahudu. Hata huko anaweza kuhama kikianzisha chama kingine
  10. B

    Nipo Kinondoni nasikia vishindo...

    Mazishi ya Rtd General Lupembe. Dar mnajua zaidi.
  11. B

    Live updates: Uzinduzi rasmi wa ACT-wazalendo - Diamond Jubilee Hall

    Dharura zipo si lazima kujua nini kinepelekea mahudhirio hayo. Hata hivyo,inaweza kuwa ni propaganda tu iliyofanywa ili watu wengi waelekeze macho na masikio yao huko. Wakati mwingine tutunie zaidi akili za kuzaliwa!
  12. B

    Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

    ACT tunasubiri kwa hamu Ngara. Big up sana ZZK.
  13. B

    Siyo Siri CHADEMA Imepata Jeraha

    ACT fanyeni juhudi za kuichukua Kigoma YOTE. CDM maeneo yao yatatwaliwa na mgawanyiko huo. CDM ni chama cha Wachaga pekee. Ni chama cha Kikanda hasa Kaskazini. Maeneo kama Iringa Mjini na Mbeya ni kwa makosa waliyofanya CCM wakati huo. Nao wamejua walijikwaa wapi. UKAWA sasa kwisha habari yao...
  14. B

    Askofu Gwajima tunakuhitaji Kanisani Kawe

    Inasemekana hata sadaka na hela za waumini hazijulikani zilipo. Kuna uwezekano pia haadhi ya waumini wakamshtaki mara atokapo hospitali. Tusubiri tuione picha halisi.
Back
Top Bottom