You needed to come with more details, it is like now you enauire from others. Do more research and revert for otbers to hip in. Is Rwanda LIKE Tanzania?
Ukiisoma vyema ramani iliyoonyeshwa, mto unatiririka kwenda kwenye ziwa linalolalamikiwa kukjtwa na maiti. Kwa kifupi ni kwamba, MAITI ZIMEKOKOTWA NA MTO KUTOKA RWANDA HADI KWENYE ZIWA. Mswali zaidi ni ya nini?
You are Wrong and Right both ways. Wrong because the educated cluster is no longer with CDM, the bogus!. You are right as you are backed with unemployed group without anything to lead them than unpromising political voices. ULTIMATELY, the WHOLE nation will get to know who are CDM lossers. Feel...
Was in Iringa just passing-by, CDM claim to carry the operation scientifically. Failure has featured across the country as awareness level now is HIGH. They need to sit down and analyse themselves.
Kwa akili na uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo, hata mtoto wa Chekechea asingeandika hayo. Rudi darasani au omba ushauri kila unapotaka kuanzisha mjadala.
Vijana ni Taifa la kesho na uzalishaji ni muhimu zaidi ya ujinga wa kuandamana. Vijana tubuni kazi mbalimbali za kufanya, tuache kufanya kazi za wanasiasa kwani ni kazi yao. Kwao maisha yako JIONI. Funguka kijana, achana na kudanganywa kupoteza muda wako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.