CHADEMA Kimetuangusha Watanzania

CHADEMA Kimetuangusha Watanzania

Chama cha mainduzi ni chama au genge la wezi wanaokula bila kunawa na mafisadi waliokithiri. Hili ni genge la mijitu iliyo very selfish ambayo haitaipeleka nchi yetu popote ndo maana mwalimu nyerere alisema ni sawa na dodoki. CCM haina nia njema na wananchi wa nchi hii na hasa vijana.

Nccr ikaja na vijana wengi tukajiunga chini ya A.Mrema tulipiga nginjanginja nchi nzima but baadae tukagundua Mrema ni boya tukajiunga na chadema .

Tulitegmea mengi kutoka hiki chama lakini nacho ni kama NCCR tu, hamna jipya. kila muda unavyoenda ndivo kinavyozidi kupungua nguvu. Wote tunajua kua wabunge chadema 2015 watakuwa wachache mno. Independentcandidates ndo watakaochukua nafasi za wabunge wa chadema. Chadema kimetuangusha kama ilivokuwa kwa nccr.

Kwa mtazamo wangu chadema imebugi, mambo yote ni independent candidates . Mnaonaje?

Sijakuelewa galiya, CHADEMA inazidi kupungua nguvu au inazidi kuongeza nguvu? kwanini Polisi wanawazuia kufanya shughuli zao yakiwemo maaandamano na mikutano ya ndani?
 
CHADEMA baada ya 2015 itabakiwa na viongozi tu, wanachama wote kwishney
 
independent candidates ndo mpango mzima...hii ni kiboko ya mijizi CCM na kiboko ya wachovu CHADEMA
 
Sioni hoja zozote humu zaidi ya ushabiki na mahaba kwa vyama.
 
Hakuna chama makini tz kinachopendwa na watanzania kama chadema
 
CHADEMA baada ya 2015 itabakiwa na viongozi tu, wanachama wote kwishney

Wewe siku hizi umekuwa mchawi au mtabiri kama mwenzako wassira siku zote mti wenye matunda ndo unarushiwa sana mawe kwa hiyo CHADEMA ni mti wenye matunda mema hatuogopi mawe
View attachment 187667
 
Dr. Slaa awe muungwana awaombe radi watanzania
 
Baada ya 2015 chadema itagundua haya niyasemayo
 
CHADEMA sasa imekuwa ni vurugu tu na kuleta fujo baada ya kuishiwa sera
 
Hayo umeyapata kutoka kwa mganga wenu Majimarefu? CHADEMA haItegemei washirikina, Inategemea tafiti za kisayansi. Ungeleta ushahidi wa utafiti wa kisayansi tungejadili lakini kwa sasa hakuna tofauti na ndoto ya mwendawazimu kuwa aliona meli ikipaa angani.

Baada ya 2015 chadema itagundua haya niyasemayo
 
Nawashauri POLISI WKT WA MAANDAMANO YA CHADEMA WAJE NA VIPIMIO KUONA WANGAPI WAMEPIGA VIROBA ....LOL

Yaani wewe ndo muanzisha topic asilimia 60 ya comments ni zako, kwanza kaa chini usijifanyie tathimin kama uko sawa sawa.
 
CHADEMA leo kuanzia saa 11 asubuhi waqlikuwa WAKINYWA ViIROBA KUJIANDAA NA MAANDAMANO
 
Chama cha mainduzi ni chama au genge la wezi wanaokula bila kunawa na mafisadi waliokithiri. Hili ni genge la mijitu iliyo very selfish ambayo haitaipeleka nchi yetu popote ndo maana mwalimu nyerere alisema ni sawa na dodoki. CCM haina nia njema na wananchi wa nchi hii na hasa vijana.

Nccr ikaja na vijana wengi tukajiunga chini ya A.Mrema tulipiga nginjanginja nchi nzima but baadae tukagundua Mrema ni boya tukajiunga na chadema .

Tulitegmea mengi kutoka hiki chama lakini nacho ni kama NCCR tu, hamna jipya. kila muda unavyoenda ndivo kinavyozidi kupungua nguvu. Wote tunajua kua wabunge chadema 2015 watakuwa wachache mno. Independentcandidates ndo watakaochukua nafasi za wabunge wa chadema. Chadema kimetuangusha kama ilivokuwa kwa nccr.

Kwa mtazamo wangu chadema imebugi, mambo yote ni independent candidates . Mnaonaje?

tunaona unafanywa hamna kwenye tigo
 
Back
Top Bottom