Nadhani Mzee Butiku amehitimisha vyema mdahalo huu kwa ufupi ameongea mengi ambayo wengi hatuyafahamu.Hatukuwa tunafahamu jinsi ambavyo mtandao wa waroho wa madaraka akiwemo Lowasa walivyovuruga chama Tawala tokea mwaka 1995 mpaka Mwl.Nyerere alipoingilia kati.Sichukii utajiri bali nachukia...
Nilifuatilia kwa makini mazungumzo hayo kimsingi Mch.Msigwa alichemsha sana kwasababu alitoka nje ya mada ya msingi kwani alipanic mpaka moderator ilibidi aingilie kati.Mch.Musigwa alichukua masuala ya kusikia na yasiyona mantiki kitu ambacho kilimtoa nje ya mada ya msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.