Jamani naona kuna ushirika kati ya wenye magari ya kuuza maji na DAWASCO.Wauza maji wako bize kila siku lakini maji kwenye mabomba yetu hayatoki.Kulikoni ndugu zangu ?Naomba tujuzane.
Kama wewe ni mkristo washirikishe kwanza wale wasimamizi wa ndoa yenu.Kama itashindikana wasimamizi wawashirikishe wazazi wa pande zote mbili wakiwepo washangazi ambao ni muhimu sana kwenye suluhu kama hizi.Pole sana ndugu yangu.
Ndugu zangu malezi ya mzazi mmoja ni tatizo. Nawashauri wanaume wanaobahatika kuzaa watoto kwenye michepuko yao wawachukue mapema kuepuka dhahama kama hii.Mtoto akiungana na ndugu zake wa upande wa pili mapema inakuwa rahisi kumpa muongozo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.