Nilichopenda na realistic timeline! Miaka 7!
Ila, ingekuwa mtu fudenge ungesikia jukwaani mradi lazima ukamilike 2025! Ili azindue hata kama ni theluthi Tu iliyokamilika!
Beberu hatoi kitu Bora,
Anachekelea Putin anavyombomoa Ukraine, Kwa sababu anajua kazi ya REBUILDING OF UKRAINE, atapiga hela ndefu sana, anajua demand ya building materials cement, nondo, itapanda, atauza, usafirishaji gharama zitapanda, meli za mizigo zitaelekezwa Ukraine, huku duniani kuwe na...
Abiria panda gari zingine, zinazoendana na speed unayoitaka!
Zipo nyingi Sana route ya Mbeya,
New Force, Kilimanjaro, Abood, Kyela Express n.k
Kung'ang'ana kupanda Saul ni upuuzi!
Sauli ina watu wake special hawana hofu, WANAOKAA ndani, kuchimba dawa hawanunui chakula kinaigiziwa Kwa mama lishe...
Kwani wapinzani siyo watu!? Siyo watanzania!?? Haki ya kuwa viongozi ni ya watanzania wote!
Sisiem haitegemei sanduku la Kura linalohesabiwa ofisi za serikali ya mtaa, wewe na unayejua kuliko Mie nisiyejua naamini wajua Hilo!
Watu wamejazana ujinga. Muarabu ndiye anayepambaniwa ammilikishwe!
NGO zinajua zinaenda kufa kifo cha mende! Mahela waliyokuwa wanachukua kupitia mgongo wa mashuka na sime za wamaasai yanayeyuka na kupotea!
Hakutakuwa na candidate tokea huko! Hilo kosa halitorudiwa KAMWE!
Wenyewe CCM wanajua wanachofanyaga!
Kura za kuhesabiwa na mawakala hawazitegemei! So maybe iko siku moja Kura za kweli zitatupa picha halisi!
Siyo Kura zinazokutwa kwenye viroba vya MBOLEA.
Wanaharakati watatafuta picha za Vita za wafugaji na wakulima Kilosa, zitatengenezewa Stori, waombee misaada, hii nchi ngumu Sana!
Kufa KUFAANA! Wahenga walisema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.