Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 2,953
- 5,875
Kuna watu wenye akili zao kwa makusudi kabisa wanaamua kupotosha juu maeneo haya mawili. Kule Loliondo tunaweka alama za mipaka kati ya eneo tengefu na eneo la wananchi. Alama hizi za mipaka zimekuwa zikiwekwa maeneo mengi ya uhifadhi hapa nchini, mfano ni kule Gombe.
Ngorongoro bado tunaendelea kusisitiza kuwa kwa wale wote kwa hiari yao wataamua kuhama nyumba zimejengwa kule Handeni, nyumba 104 ziko tayari, nyingine 400 zinakamilishwa.
HAKUNA ASKARI YEYOTE ALIYEPELEKWA NGORONGORO KUMHAMISHA MTU YEYOTE KWA LAZIMA.! Bado ishu ya kuhama ni hiari ya mtu.
Tuwe wazalendo jamani, tuache upotoshaji.
Ngorongoro bado tunaendelea kusisitiza kuwa kwa wale wote kwa hiari yao wataamua kuhama nyumba zimejengwa kule Handeni, nyumba 104 ziko tayari, nyingine 400 zinakamilishwa.
HAKUNA ASKARI YEYOTE ALIYEPELEKWA NGORONGORO KUMHAMISHA MTU YEYOTE KWA LAZIMA.! Bado ishu ya kuhama ni hiari ya mtu.
Tuwe wazalendo jamani, tuache upotoshaji.