Tatizo letu ni kubaki kulalamika pasipo kufanya jitihada za kujinasua kutoka kwenye umasikini,n.k;ndiyo maana nchi za magharibi zinatusuta "Waafrika acheni kulia 'ukoloni','ukoloni' daily,simameni,fanyeni kazi,jengeni uchumi wenu".Leo watu wanalia;"Nyerere mpuuzi,katufanya tuwe maskini!" huku...
Acha 'maneno mbofu mbofu' Mr.Masatu!mbona wengi tu huwa wanaombewa na mashekhe na hakuna aliyesema huo ni udini!halafu issue ya kumwaga damu siyo solution,zipo nchi zimepigana kwa issue hiyo hiyo na bado 'heshima' uitakayo haijarejea.Fikiria upya bro.
Ingependeza sana ikiwa vyama vya siasa vya Tz,hususani vinaovyounda UKAWA,kama viongozi wake wakuu wangehudhuria/kuwakilishwa.Raila Odinga anahitaji kufarijiwa,amepitia mazito mengi,na ili kutokomeza 'umafia' wa Serikali tawala ni lazima wapinzani wa East Africa washikane mikono.Vinginevyo..:/
Ni sahihi wahisani wakizuia misaada yao ili hali iwe ngumu kwetu,pengine itasaidia walalahoi kama mimi kuamka na kuchukua hatua dhidi ya serikali inayoongozwa na familia ya panya.
Napenda iwe hivyo,sauti ya Ukawa inabidi ipae kimataifa,na muda wa kumpigia yowe mwizi.Hatupendi wageni kuingilia mambo yetu,ila kwa hili acha waingilie kati.
Nyerere alipompiga chini huyu Mr.Dhaifu mwaka 1995 kwa madai "..bado hajakua" alijua akili ya Baba Ritz haifanyi kazi,na kamwe haitafanya kazi.Bado mwingine aliyekataliwa 1995 naye anaunyemelea Upresdaa.Nchi yetu ni shamba la bibi.
#Mo Mbelwa hao wa5 walio skonga watakabidhiwa mgodi wa Uranium-Namtumbo,Kitalu cha Uwindaji,watanunuliwa pia kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia(zamani-African Barrick Gold).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.