Recent content by Bambata Uprising

  1. B

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Tatizo letu ni kubaki kulalamika pasipo kufanya jitihada za kujinasua kutoka kwenye umasikini,n.k;ndiyo maana nchi za magharibi zinatusuta "Waafrika acheni kulia 'ukoloni','ukoloni' daily,simameni,fanyeni kazi,jengeni uchumi wenu".Leo watu wanalia;"Nyerere mpuuzi,katufanya tuwe maskini!" huku...
  2. B

    George Masaju afanyiwa ibada maalum ya maombezi

    Acha 'maneno mbofu mbofu' Mr.Masatu!mbona wengi tu huwa wanaombewa na mashekhe na hakuna aliyesema huo ni udini!halafu issue ya kumwaga damu siyo solution,zipo nchi zimepigana kwa issue hiyo hiyo na bado 'heshima' uitakayo haijarejea.Fikiria upya bro.
  3. B

    Dk.Magufuli ahudhuria mazishi ya Fidel Odinga

    Ingependeza sana ikiwa vyama vya siasa vya Tz,hususani vinaovyounda UKAWA,kama viongozi wake wakuu wangehudhuria/kuwakilishwa.Raila Odinga anahitaji kufarijiwa,amepitia mazito mengi,na ili kutokomeza 'umafia' wa Serikali tawala ni lazima wapinzani wa East Africa washikane mikono.Vinginevyo..:/
  4. B

    Hotuba ya Kikwete: World bank, EU na MCC ngoma bado nzito

    Ni sahihi wahisani wakizuia misaada yao ili hali iwe ngumu kwetu,pengine itasaidia walalahoi kama mimi kuamka na kuchukua hatua dhidi ya serikali inayoongozwa na familia ya panya.
  5. B

    Hotuba ya Kikwete: World bank, EU na MCC ngoma bado nzito

    Napenda iwe hivyo,sauti ya Ukawa inabidi ipae kimataifa,na muda wa kumpigia yowe mwizi.Hatupendi wageni kuingilia mambo yetu,ila kwa hili acha waingilie kati.
  6. B

    Wazee wa Dar: Tulitaka kumuuliza Rais

    Mr.Dhaifu amefanya makusudi,inawezekana ni kweli familia yake pia inahusikwa kwenye mchongo huo.Shame upon him!
  7. B

    Maoni ya Wadau baada ya Hotuba ya Rais Kikwete kwa 'Wazee wa Dar' kuhusu Sakata la Tegeta Escrow

    Nyerere alipompiga chini huyu Mr.Dhaifu mwaka 1995 kwa madai "..bado hajakua" alijua akili ya Baba Ritz haifanyi kazi,na kamwe haitafanya kazi.Bado mwingine aliyekataliwa 1995 naye anaunyemelea Upresdaa.Nchi yetu ni shamba la bibi.
  8. B

    Mfahamu Salma Kikwete

    #Mo Mbelwa hao wa5 walio skonga watakabidhiwa mgodi wa Uranium-Namtumbo,Kitalu cha Uwindaji,watanunuliwa pia kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia(zamani-African Barrick Gold).
  9. B

    Magesa Mulongo umewatukana Wakerewe, waombe radhi

    Uko sahihi mkuu.Napajua kwao,mimi naishi Kibara-Bunda,kwao na huyo lofa pamechoka si kidogo.
Back
Top Bottom