Wamelalamika kuwa wao hawakuuliza. Wanasema kama kuzungumza nao,kama inavyokuwa kwa Waandishi wa Habari,walikuwa na shauku ya kurusha maswali yao kwa Rais baada ya hotuba yake.
Wanalalamika kunyimwa nafasi. Wengine wameapa kutokwenda tena watakapoitwa. Nimejaribu kuwaelewesha bila ya kueleweka na wao kuelewa. Wakatest kuniuliza maswali mawili-matatu.
La kwanza,kwanini TANESCO hawakurudi ICSID kwa miaka saba na wakuu wao,yaani Wizara ya Nishati na Madini, kutowahoji kwa kutokwenda kwao huko? La pili,mgogoro kati ya TANESCO na IPTL ulikuwa ukijulikana Serikalini?
La tatu,ni kweli kulikuwa na hukumu iliyoamuru fedha zilipwe kwa IPTL? CAG alikagua vipi fedha isiyo ya umma? La tano,kukiuka kulipa kodi kunasameheka na si jinai tena?
Kutokana na uzito wa maswali hayo,kulingana na umri na uwezo wangu,nimewaomba niwajibu kwa barua au simu baada ya utafiti ulio fiti.
Rais anaweza kufikishiwa maswali haya. Ni ya msingi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Wamelalamika kuwa wao hawakuuliza. Wanasema kama kuzungumza nao,kama inavyokuwa kwa Waandishi wa Habari,walikuwa na shauku ya kurusha maswali yao kwa Rais baada ya hotuba yake.
Wanalalamika kunyimwa nafasi. Wengine wameapa kutokwenda tena watakapoitwa. Nimejaribu kuwaelewesha bila ya kueleweka na wao kuelewa. Wakatest kuniuliza maswali mawili-matatu.
La kwanza,kwanini TANESCO hawakurudi ICSID kwa miaka saba na wakuu wao,yaani Wizara ya Nishati na Madini, kutowahoji kwa kutokwenda kwao huko? La pili,mgogoro kati ya TANESCO na IPTL ulikuwa ukijulikana Serikalini?
La tatu,ni kweli kulikuwa na hukumu iliyoamuru fedha zilipwe kwa IPTL? CAG alikagua vipi fedha isiyo ya umma? La tano,kukiuka kulipa kodi kunasameheka na si jinai tena?
Kutokana na uzito wa maswali hayo,kulingana na umri na uwezo wangu,nimewaomba niwajibu kwa barua au simu baada ya utafiti ulio fiti.
Rais anaweza kufikishiwa maswali haya. Ni ya msingi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Wamelalamika kuwa wao hawakuuliza. Wanasema kama kuzungumza nao,kama inavyokuwa kwa Waandishi wa Habari,walikuwa na shauku ya kurusha maswali yao kwa Rais baada ya hotuba yake.
Wanalalamika kunyimwa nafasi. Wengine wameapa kutokwenda tena watakapoitwa. Nimejaribu kuwaelewesha bila ya kueleweka na wao kuelewa. Wakatest kuniuliza maswali mawili-matatu.
La kwanza,kwanini TANESCO hawakurudi ICSID kwa miaka saba na wakuu wao,yaani Wizara ya Nishati na Madini, kutowahoji kwa kutokwenda kwao huko? La pili,mgogoro kati ya TANESCO na IPTL ulikuwa ukijulikana Serikalini?
La tatu,ni kweli kulikuwa na hukumu iliyoamuru fedha zilipwe kwa IPTL? CAG alikagua vipi fedha isiyo ya umma? La tano,kukiuka kulipa kodi kunasameheka na si jinai tena?
Kutokana na uzito wa maswali hayo,kulingana na umri na uwezo wangu,nimewaomba niwajibu kwa barua au simu baada ya utafiti ulio fiti.
Rais anaweza kufikishiwa maswali haya. Ni ya msingi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mr.Dhaifu amefanya makusudi,inawezekana ni kweli familia yake pia inahusikwa kwenye mchongo huo.Shame upon him!Kitendo Cha kumuacha mpasua miamba wizarani ni kosa kubwa sana JK atolisahau.
Hiv wazee wa iliyokuwa jumuiya ya Afrika Mashariki walikuwepo?
Wamelalamika kuwa wao hawakuuliza. Wanasema kama kuzungumza nao,kama inavyokuwa kwa Waandishi wa Habari,walikuwa na shauku ya kurusha maswali yao kwa Rais baada ya hotuba yake.
Wanalalamika kunyimwa nafasi. Wengine wameapa kutokwenda tena watakapoitwa. Nimejaribu kuwaelewesha bila ya kueleweka na wao kuelewa. Wakatest kuniuliza maswali mawili-matatu.
La kwanza,kwanini TANESCO hawakurudi ICSID kwa miaka saba na wakuu wao,yaani Wizara ya Nishati na Madini, kutowahoji kwa kutokwenda kwao huko? La pili,mgogoro kati ya TANESCO na IPTL ulikuwa ukijulikana Serikalini?
La tatu,ni kweli kulikuwa na hukumu iliyoamuru fedha zilipwe kwa IPTL? CAG alikagua vipi fedha isiyo ya umma? La tano,kukiuka kulipa kodi kunasameheka na si jinai tena?
vuta nikuvute mzushi unayedai wazee walitaka kuuliza maswali. labda hujui itfaki ya mikutano ya raisi wewe. ule ulikuwa mwaliko wa kuongea na wazee na sio tete a tete ambako unaweza kuuliza maswali. Nyerer pia alikuwa akiongea na wazee na haulizwi maswali.. Nitakujibu maswali yako kama ifuatavyo. Tanesco hawakurudi ICSID kwa miaka saba kwa sbabau ya gharama ya kuendesha kesi ICSID na kutokuwa na uhakika wa kushinda kesi. Pia walipewa angalizo na mwanasheria wao Mzee Mkono juu ya athari au risk wanayoweza kuisababisha wakirudi ICSID. Wizara haikuwahoji kwa sababu Tanesco wanayo bodi yao na inatoa taarifa kila baada ya robo mwaka kwa wizara. Kuhusu mgogoro kuwa unajulikana jibu ni ndiyo na ndiyo sababu kubwa iliyomfanya Mheshimiwa mwanasheria mkuu wa serikali kuangalia njia nzuri ya kuumaliza mgogoro huu ili usiwe mzigo kwa serikali. Lengo likiwa ni kuumaliza kabisa mgogoro huu wa iptl.
Hukumu iliyoamuru fedha zilipwe kwa iptl ilikuwepo na ipo hata kesho ukienda masjala ya mahakama kuu au maktaba yao utaipata nakala ya hukumu hii kwani huwa zinawekwa maktaba kwa marejeo.
CAG alikagua fedha hizo baada ya ninyi na akina kafulila kuzusha uongo bungeni hivyo ikabidi aagizwe CAG akague kwa ukaguzi maalum.
Kukiuka kulipa kodi ni jinai na hakusameheki na Mheshimiwa rais hajasema wamemsamehe mtu kulipa kodi. Isipokuwa yule anayekwepa kulipa kodi anatozwa kodi na riba juu yake na atakaposhindwa kulipa ndipo sasa hufunguliwa mashtaka ya jinai. subiri process inaendela ikikamilika utajua tu kwani tupo wazi
Usiendeshwe na jazba kijana. Toa hoja
Mzee Tupatupa
Ni kweli Mkuu ashinikizwe huyu DHAIFU kwamba hotuba yake imeacha maswali mengi sana kuliko majibu. Tunataka aitishe news conference ili ajibu maswali husika toka kwa waandishi wa habari bila kukwepa na kujichimbia Ikulu.