Recent content by Bamba

  1. B

    Anayemsifu MWAKYEMBE Atakuwa hamnazo!

    I hope ww ndio hamnazo kama kwa juhudi zote hizi bado humkubali!
  2. B

    Ushindi wa CHADEMA Arusha: Ushauri wa bure kwa CCM

    CCM wanatakiwa wabadilike na kutambua hiki si kizazi cha zidumu fikra za mwenyekiti, wakijatambua wataachana na siasa za chuki
  3. B

    Porojo la dk. Shein kumbe ni kibaraka wa tanganyika hana dowa

    Ndo vizuri, akili za kuambiwa changanya na za kwako
  4. B

    Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    Kawida mbwa hubweka akiwa nyumbani kwake so kwa kauli za Kagame lazm kuna nchi zilizo nyuma yake ndo maana anathubutu kuyanena hayo aliyoyanena, hatuna budi kuwa makini ktk hilo
  5. B

    Hoja za Mwalimu Nyerere kupinga serikali tatu Tanzania

    Ifike wakati tukubali tu muungano kwa sasa hauna nguvu kwa sababu wazanzibari walio wengi hawautaki kwanini bara tuung'ang'anie! Tukubali tu kuwe na chombo cha kutuunganisha ktk kujadili masuala ya muungano ambayo ni serikali ya tatu na serikali ya kila nchi. Bila dha hata mwalimu JK...
  6. B

    Rasimu ya Katiba Mpya: Jina "Tanzania Bara" Linakera!

    Cjajua ni kikwazo gani kinatufanya tuung'ang'anie muungano na watu wasioutaka wasije ingia msituni waudai kwa nguvu
  7. B

    Hii la mahakama ya kadhi limekaaje?

    Tulishaambiwa serikali haina dini hakuna cha kushangaa katiba kutozungumziwa mahakama ya kadhi kwenye nchi yenye mchanganyiko wa dini kama TZ
  8. B

    Bunge la Bajeti 2013 Laimaliza CHADEMA

    Ungeweka uthibitisho wa uliyoyasems ungeonekana wa maana jiuliza ni kwa nn bunge liliahirishwa
  9. B

    Mbunge wa CCM, Abdallah Mtutura akutwa na kashfa ya ujangili wa meno ya tembo kama Kinana

    Mara nyingi mwizi humtetea mwizi mwenzie kama siraha zake zimehusika bas naye ni mhusika vinginevyo amtaje anayetunza siraha zake kama yeye siye
  10. B

    Angalia kwa makini shavu lake.Je, Hawezi kukamatwa kwa kumdhalilisha Mheshimiwa sana?

    Hana jipya anajitongozesha tu kwa mkuu wana mbinu nyingi hawa
  11. B

    Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010

    Kama ni kweli walifanya hivyo basi CDM walikua sahihi kukataa ushirikiano na CUF ktk bunge
  12. B

    Madiwani wapendekeza kuigawa Mbeya

    Ni bora kuongeza watumishi wawe wengi na kuiboresha miundo mbinu kuliko kuugawa mkoa kuondokana na gharama zisizo za lazma
  13. B

    Mh. Waziri Mkuu Sema Kitu Mtwara Itulie

    Tuliambiwa wamelimaliza zuala la ges sasa yanatoka wap nahisi kama taifa lilidanganywa
Back
Top Bottom