Recent content by Baltasar Ebang Engonga

  1. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Hivi hata huko kwenu watu wenye tamaa kama Jonasi wa “the Polygamist” 🙃 wapo?

    Ananijua Vema... na kwenye wedi kapu nilikuwepo
  2. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Natafuta boyfriend umri kuanzia miaka 25 hadi 30

    Wandugu mimi sifa ninazo ila ni mgeni kutumia JF ndugu yenu sijui hata PM namfataje, sion Menu ya PM mnisaidie mwenzenu. 🙏🙏
  3. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Kuna namna hii sekta imenikataa kabisa

    Wasiliana nami fundi mtata, hilo ni jambo dogo sana kwangu. Na mpaka sasa ramli inaonesha umefungwa. Na alie kufunga hatoki mbali, ni ndugu yako. Yule ulie badilishana nae namba za simu... Nitafute nikusaidie. +255729384756 Dokta Maganga, wa kigoma.
  4. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhari: Tiktok inamfundisha shemeji yangu ushoga

    Mlete tu, tuachie video ya 401
  5. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Oktoba tunatiki!!

    Kuna haja gani ya kutuambia unatiki? Kila mtu anajua utatiki basi kaa kimya na hizo tiki zako 3 kwani si kila mtu huvutiwa na kiasi cha ujinga ulionao.
  6. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Mambo 7 wanaume hawayapendi

    Namba 5, umenena vyema. Nachukia sana hii tabia. Nilimpa mke wangu (mwaka mmoja baada ya ndoa) talaka kisa tabia za kijinga kama hii
  7. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Share short sad story iliyowahi kuutokea au uliyoshuhudia kwa rafiki, jirani au ndugu

    WALIO SAMBAZA VIDEO ZANGU 400. WALINIFEDHEHESHA SANA...
  8. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Mtibeli usijisahaulishe zimebaki siku mbili kufikia tar 7 tuone ukiaibika. Lisu hatutamtoa kwa ramli zenyu

    NAKUTAMANI SANA UNGEKUWA MMOJA MIONGONI MWA WALE NILIOKUWA NAO KWENYE ZILE VIDEO ZANGU 400
  9. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Mtasema kila kitu kizuri au kibaya. kuipongeza au kuiponda lakini hapatakuwa na chochote, na CCM tutaendelea kusalia kwenye mamlaka... mpaka pale mtakapoacha kulalamika na kuanza kuchukua hatua. KNOWING WHAT IS WRONG, IS NOT THE SOLUTION. CORRECTING IT IS.
  10. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Mtasema kila kitu kizuri au kibaya. kuipongeza au kuiponda lakini hapatakuwa na chochote, na CCM tutaendelea kusalia kwenye mamlaka... mpaka pale mtakapoacha kulalamika na kuanza kuchukua hatua. KNOWING WHAT IS WRONG, IS NOT THE SOLUTION. CORRECTING IT IS.
  11. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Akutwa na ndoo za kinyesi na mikojo ndani. hivi hili ni tatizo ugonjwa wa akili?

    Ni uvivu tu wa Kwenda chooni mida ya usiku. Unakuta mtu anakaa chumba hapa... halafu choo kiko mita 15 au zaodi. So baadhi huona uvivu kwenda. Wanaamua kuangalia alternative
  12. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Kwanini Toyota premio inauzwa bei juu?

    PREMIO IMEKUSHINDA MKUU... HUNA NDOTO ZA V8??
  13. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Hatembei na Mume wake? CCM Haina washauri wa maadili?

    Jamaa anaonekana kama kalazimishwa kucheza 🤣🤣
  14. Baltasar Ebang Engonga

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

Back
Top Bottom