Umenikumbusha the same scenario ilinikuta nilipigwa na baridi cive na kikakandwa pia[emoji3][emoji3][emoji3] Aiseh Mungu atusaidie vijana tunapitia mengi sana
Kabisa, sasa na private yenyewe nyingine ni maumivu makaali sana aiseh kuliko ujobless, wakuu washshe tu mapdf huenda asali iko njiani, ukiona giza nene sana ujue kuna karibia kukucha
Nimekuwa addicted na pdf aiseh baada ya kuonja flavour ya ujobless sasa, aiseh hakuna kitu kigumu km unaamka na hujui uende wapi, askiwambie ntu tututu bia tamuu
Cha kwanza kupata kazi kwanza haya mengine ya sijui nani analipwa Sh ngp yatajulikana huko mbele ya safari, na hakuna mshahara unaotosha wapo maticha wanaupiga mwingi sana, kinachobaki ni kujiongeza tu kwa kuangalia fursa zilizo mbeleni, asikwambie mtu kukosa kazi aseeh ni janga la taifa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.