Mapenzi hayana darasa mkuu, ingawaje ni ngumu Ila wapo, Tamaa ndio huleta mapenzi na sio elimu, sema bongo saivi karibu watu wengi wanafika form 4 kwahiyo bado mahusiano ya namna hiyo ni nadra kutokea
Mmenikumbusha mbali sana, mimi nasomaga wenzangu waliyo yaandika ila leo hii mada imenikuna
Oya kipindi flani tu hapa kama miaka mi 2 au 3 iliyopita nilipata pisi kali sana tena siyo kwa kuitongoza bali kwa mazoea niliyokua nayo hiyo pisi tangu utotoni, Aisee kwa ile pisi niliipita umri mwingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.