Recent content by baller

  1. B

    Nafasi za Kazi SADC - 14M kwa Mwezi

    Ukitaka kutuma application unatuma kwa njia gani. Maana hawajaweka address au email
  2. B

    Ushauri juu ya ununuzi wa magari ya mnada unaofanywa na TRA kwa njia ya mtandao

    Kabla hujachuku unaangalia condition unaruhusiwa kwenda kulikagua, kuna baadhi ya watu walibahatika kuyapata ambayo yapo katka condition nzur
  3. B

    Ushauri juu ya ununuzi wa magari ya mnada unaofanywa na TRA kwa njia ya mtandao

    Hyo bid price ndo kodi yenyew utakacho kuja kulipia ni gharama za usajili tu
  4. B

    Ushauri juu ya ununuzi wa magari ya mnada unaofanywa na TRA kwa njia ya mtandao

    Hello JFs members Naomba mnipe mawazo/ushauri juu ya ununuzi wa magari yanayopigwa mnada na TRA kwa njia ya mtando. Idea niliyonayo ni kwamba ninunue gari then nilifanyie matengenezo kidogo halaf niliuze. Mfano magari kama IST, Raum na mengineyo ya type hizo unakuta kwenye mnada yanaanzia 6M...
  5. B

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Mkuu, hii ni used au mpya?
  6. B

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Mkuu una turbo ya land rover defender injini 300tdi
  7. B

    Maboresho kwa ramani hii

    Inaezekana ni nyumba yake ya pili au ya tatu, kwa hyo haitaji haraka
  8. B

    Huu ndio Mzigo wangu wa Movie

    Kuna series inaitwa Tehran nayo ipo bomba sana
  9. B

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Braza na makadirio ya kodi hapo boda ya tunduma yapoje mfano kwa hzio LC 70 series au 100 series?
  10. B

    Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

    Arusha bei ya viwanja ni kisanga halaf ni vidogo sana, hapo ukitaka vikubwa utoke nje ya mji kabisa
  11. B

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Dah, braza mimi sio kwamba nashindwa kulipa hyo buku. Ila tatzo nikishaipakua hyo app ya telegram lazma nianze kutafta link za magroup ya malaya na mim ctaki kurudi tena huko. Yani hyo app ctak kuiona kabisa kwny cmu yangu
  12. B

    INAUZWA Meza ya dinning mninga bado mpyaaaa

    Mkuu, samahani naomba unifahamishe hyo skimming ya ukutani ni ya aina gani au ni rangi?
Back
Top Bottom