Hello JFs members
Naomba mnipe mawazo/ushauri juu ya ununuzi wa magari yanayopigwa mnada na TRA kwa njia ya mtando.
Idea niliyonayo ni kwamba ninunue gari then nilifanyie matengenezo kidogo halaf niliuze. Mfano magari kama IST, Raum na mengineyo ya type hizo unakuta kwenye mnada yanaanzia 6M...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.