Wakuu habari
Naomba muongozo kwa mwenye uzoefu na Oral interview nafasi ya Mhasibu Utumishi anipe uzoefu na namna ya kujiandaa natanguliza shukurani kwenu
Naunga mkono hoja pepa ya 2009 ilikuwa ngumu sna ikiwamo mtihani wa Math uliahirishwa kwa wiki mbili balaa likaja 2010 nusu ya watahiniwa waliofanya mtihani walipata zero
Kuna tofauti kati ya league ynye mvuto na league bora ndio maana kwenye league bora team bora ndio inayoshinda mechi ni tofauti na epl ambpo kila team ina uwezo wa kushinda yaani West ham anamfunga arsenal man city Liverpool lkn anafungwa na team kma Norwich City mambo hyo ni ypo England pke...
Ukweli haugawanyiki kuna m2 mkuu limepata vzr hpo yaan kachaaa wtt wa kike ni wajanja sna wanajua kucheza na mind set za wanaume ili hyo ni ngumu kumeza kwa baadhi ya wa2 tulio bsy kusaka Lg life good who am I don't bother htna hbr na hzo masinema
Wasomi weng wa degree wnamliza vyuo wkiwa hwna strategic plan za nn wafnye baada ya kuhtmu masomo yao sasa m2 akiwa chuoni ni kma anaishi kwenye box hwz kuona ugumu wa maisha akiwa chuo lkn aklimalza anktna na changamoto nzito ya kuhangaikia ajira wkt hna plan b yyte ktk maisha ameishi na boom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.