Recent content by Balfour declaration

  1. B

    Wakulima wadogo wote watageuka vibarua kwenye mashamba ya hawa mabepari

    Mkuu ni maeneo gani au Kijiji gani nami nipite angalau nijifunze kitu
  2. B

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Bado sijazipata Mkuu
  3. B

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Mkuu, unapatikana pande zipi naomba nipm nipate namba yako, natanguliza shukran
  4. B

    Serikali tuelezeni hatma ya kiwanda hiki wakati watu wakiendelea kufa kwa malaria

    Naunga mkono hoja Mkuu, kiukweli hili Ni bonge la project ambayo ilikua na manufaa makubwa Sana kwa taifa letu na kizazi kijacho kwa ujumla, binafsi naomba Serikali yetu sikivu iliangalie hili kwa jicho la pekee, sijui kwanini Raisi wetu aliyetangulia mbele za haki hakuliwekea uzito unaostahili
  5. B

    Dkt. Bashiru: Namshukuru Rais Samia kwa kuniteua kuwa mbunge, hii ni heshima kubwa kwangu kwani hadi sasa tuko nane

    Kwa akili ya kawaida huwezi kusema eti wakulima wa Tanzania wanahuruma na wakati wewe ndiye ulie amua kupanga Bei na kuwachagulia wapi wauze mazao yao
Back
Top Bottom