yani pole sana bro,ila hao erolink ni nooma mimi mwenyewe nimo kwenye huo mkumbo,nateseka na wala mshahara wangu haujawai kukutana,nina miaka sita humu erolink ila mpaka sasa NSSF yangu hakuna ela zaidi ya laki 3,ukiwauliza wanakujazisha mafomu ya kupeleka NSSF na mfwatiliaji ni mimi,mara subiri...
hii mada ni nzuri japo kwa kupata elimu tuu na sio kuingia moja kwa moja.ila na mimi nina swali mkuu pasco,kuna siku house irl wetu alipandisha mapepo sikuogopa hata nilimshika kichwa na kuomba kwa ukimya gafla akaanza kusema lugha ya ajabu kwa kerere na mie nilikuwa siongei kwa sauti.pili uwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.