Mimi pia niliamini mitishamba ni ushirikina na nilisema sitathubutu kwenda kwa mganga kupata tiba yoyote hadi nilipobananishwa ndo nikaacha hayo mawazo ya kipuuzi
Ni kweli hakuna mwanaume rijali hajapitia hii kitu ila ukifika tu mda wa kuacha unaacha tu, mfano halisi mimi niliacha tangu 2019 na niliamua tu kuwa saivi sipigi tena, japo nilianza kitambo sana kabla sijaoa na hata nilipooa niliendelea kunyetuka kwa miaka mingi tu
Sent from my TECNO_W4 using...
Huwezi kuwa wa kwanza na hutokuwa wa mwisho, ye nani kwani hadi asiachike? Vinginevyo utuambie umeamua kukubaliana na pilipili uloiowa mwenyewe kwa gharama zako yaani kufa kiume.
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Kuanza upya sio ujinga 40+yrs kitu gani mkuu, mfano akifa sasa hivi utafanyaje? Lazima utaanza upya ee usiogope wewe.
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.