Yaani hili lina maana kwamba:
DC, DED, DAS, Katibu wa CCM wa Wilaya, Katibu Mwenezi, Makatibu wa UVCCM, UWT, Wazazi, ongeza na OCD, DSO na wa PCCB, wote hawa wanapambana na mtu mmoja anaitwa Mbowe huko Hai na bado hawana uhakika kama watamshinda!? Kweli CDM ni hali ya hewa si mtu.