Recent content by Baija Bolobi

  1. B

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Wanaodhani wana furaha hawana furaha. Wapinzani hawana furaha, wapinzani wa wapinzani hawana furaha

    Kwa mujibu wa kitabu chake alichoandika kihusucho Sustainable Development in Tanzania, inaonyesha Askofu amesoma vyuo Vikuu vifuatavyo: UDSM, Makumira, Copenhagen, Tubingen na Chicago. Kitabu chake kimejikita kwenye uchumi na maendeleo.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Uwepo Lengai Ole Sabaya katika wilaya ya Hai ni tishio jipya kwa uhai wa CHADEMA

    Yaani hili lina maana kwamba: DC, DED, DAS, Katibu wa CCM wa Wilaya, Katibu Mwenezi, Makatibu wa UVCCM, UWT, Wazazi, ongeza na OCD, DSO na wa PCCB, wote hawa wanapambana na mtu mmoja anaitwa Mbowe huko Hai na bado hawana uhakika kama watamshinda!? Kweli CDM ni hali ya hewa si mtu.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Rekodi huwekwa na kuvunjwa. Tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na Spika wa Bunge aliyevaa itikadi

    Rekodi huwekwa na kuvunjwa. Tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na Spika wa Bunge aliyevaa itikadi ( Partisanship) kama Spika Ndugai. Spika huyu anakipendelea chama chake kuliko hata Mwenyekiti wa chama chake au hata kuliko Katibu Mwenezi. Nadharia ya uhuru wa bunge kama mhimili inatiwa doa la...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Uzalendo wa wanasiasa wote Tanzania ni wa mashaka siri zao nje nje

    Nijualo ni kuwa huwezi kuwa mpinzani nchi hii ukiwa na yafuatayo: Uraia tata, mali zisizo na chanzo halali, rekod wazi za ulipaji kodi, rekodi wazi ya makosa ya kijinai. Wanaoruhusiwa kuwa na makandokando hayo ni wana CCM tu. Uliona mtu yuko upinzani ni dalili kuwa yeye ni msafi.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Polisi Monduli, Mzee Lowassa anakuja kutengua kauli ya Rais ya maandamano, je Safari hii mtamruhusu?

    Na anavipenda sana vya kuheshimiwa na kulindwa lindwa
  6. B

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa wa leo kwa watanzania wenzangu na hasa wale wenye mamlaka

    Ethiopia ina one of the best airline in the continent. Ina reli ya umeme. Lakini polisi wetu na uhamiaji kule Morogoro, Kilimanjaro, Songwe n.k wanakamata mamia ya wahamiaji haramu wanaoenda bondeni kutafuta maisha na uhuru. Tusibeze alichosema Salary Slip na alichosema Jaji Sam. Uhuru hauna...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Dk. Willem Jacobs: Hatutakiuka makubaliano yoyote tuliyoweka na Tanzania katika malipo

    Mbona mkutano huu haukuwa LIVE kama alivyofanya kwa viongozi wa dini na watu wa madini?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Analysis ya Kilichoendelea Kimara katika ufunguzi wa 8 lane road: Mheshimiwa rais hauko sahihi kwenye mambo mengi!

    Jambo moja asilolijua rais wetu na wasaidizi hawamwambii. Kuwafidia wananchi waliobomolewa ni uwekezaji mkubwa kwa nchi. Ni stimulus package ya uchumi. Wafidiwa watanunua saruji, nondo, chokaa, na vifaa vyote ili kujenga. Fedha hiyo itarudi serikalini kwa njia ya kodi mbalimbali zitakazoibuka...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Vigogo 10 ambao Magufuli amewatosa huku wanajiona..

    Sefue
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kosa lililowafukuzisha Zitto na Prof Kitila CHADEMA ni jepesi kuliko Walilosamehewa Kubenea na Komu!

    Ni kweli lakini Kitila na Zitto hawakukiri kosa. Kubenea na Komu wamekiri.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kutekwa MO: Viongozi wa Serikali waliohojiwa wakae kando kupisha uchunguzi, CCM lazima ijitofautishe na CHADEMA!

    Hili sakata la utekaji wa MO lina sura nyingi na ninatabiri litakuja kuleta harufu mbaya: -Wasiojulikana kabisa wanapoteka, mtu hapatikani (Ben Saanane na Azory nk) -Wasiojulikana lakini "wanajulikana", wanapoteka, mtu anarudi (Roma, MO) -Tuhuma za kumhusisha mkulu moja kwa moja/Uso kwa uso na...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Waliohama CHADEMA ili kuunga mkono juhudi waanza kuomba kurudi

    Kurudi warusi lakini sharti liwe moja tu: Waeleze mkakati mzima ulivyokuwa ili tujue ukweli wote. Tukiambiwa walinunuliwa, tuachane kabisa na jitihada za kupambana na rushwa. Tukiambiwa walitishwa, tuachane kabisa na ndoto za tume huru ya uchaguzi. Tukiambiwa walishawishiwa, watuambie...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Komrade Kinana nakuandikia hili kutoka moyoni mwangu.!

    Mimi naweza kusema; Kinana alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu, alikuta CCM ni chama cha Viongozi. Akakiondoa huko na kukifanya chama cha wana CCM. Akaweka kanuni kuwa madhambi ya serikali si madhambi ya CCM, na madhambi ya viongozi wa CCM, si madhambi ya CCM. Hili alilifanya. Bashiru Ali na...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Dk. Benson Bana anena kuhusu kauli ya Katibu Mkuu wa CCM: Suala la watu kushiriki au kutoshiriki uchaguzi ni hiari

    Huyu naye basi tumuache. Bahati mbaya wote ni Nshomile. Ila Benson ajue kuwa, CCM hata wanaposhinda, wanajishangaa walivyoshinda. Wagmbea wao ukiwauliza wameshinda vipi, hata wao wanashangaa na kukuelekeza umuulize Polepole.
  15. B

    JamiiForums Tanzania JK Nyerere: Watu wetu wanahitaji freedom, hawahitaji udikteta

    Sawa tumekusikia. Pamoja na ubaya wake, Nyerere alidiriki kuyasema haya. Waambie hawa wa sasa tuwaone wakisemea juu ya haki za binadamu. Itasaidia sana kuwasikia angalau wakitueleza juu ya msimamo kuhusu uhuru, maendeleo na haki za binadamu. Tunachokiona sasa: -Hawataki hata kuchorwa kwenye...
Back
Top Bottom