Gody Mnazarayo
Member
- Feb 7, 2019
- 41
- 45
Hodi Jamvini,
Leo baada ya kupitia baadhi ya mitandao ya kijamii Nikiwa nafatilia Mambo ya duniani yanayojiri Kila siku nimebahatika kukutana na sehemu kadhaa Ambazo Kiufupi zimenipa Taswira mpya kichwani
Kwanza Ni Juu ya hofu kubwa iliyotanda vichwani vya wanachadema wengi juu ya hatima ya Ngome kuu ya chama Chao ambayo kiukweli Ni pale Wilaya ya Hai ,Nasema hivo kwa sababu Ndio shina lenyewe kwa kuwa Ni mahali ambao anaedhaniwa kuwa mwamba wa chadema Ndio nyumbani kwake na SI nyumbani tu Bali pia sehemu iliokuwa haitikisiki.
Hofu kubwa niliyoiona Ni Juu ya uwepo wa Mkuu wa Wilaya Ambae wachambuzi wengi wanamtafsiri Kama kijana shupavu,Mbabe wa Vita za Ana kwa Ana ,Kijana aliepita kwenye kashikashi nyingi za kutisha Wanamwita Lengai Ole Sabaya,
Wanachadema wengi wa mitandaoni wamechukua jukumu la kudili na Kijana Huyu kokote ambako either picha yake ama Habari zake zitakapoonekana Basi wanatumia nguvu ya Kila aina kumbeza,Kumchongea,Kumkashifu,Kumzushia na wengine wanaenda mbali zaidi wana mtolea lugha Ambazo Ni chafu,
Nimejiridhisha zaidi kwa kuanagalia hata sehemu ambazo either Kuna taarifa za viongozi was Serikali kwa pamoja basi wanachadema wengi watamshambulia Lengai Ole Sabaya pekee ake kwa tuhuma za Kila namna.
Kiukweli Nimetafakari Sana suala Ilo kupata hitimisho ambalo kwa upande wangu Ni Pumzi ya Ngome kuu ya chadema iko Mahututi au iko rehani Na Kuna Kila haja ya wanachadema kukaa chini watafakari kwa umakini hatima ya ubunge wa Mbowe pale hai either kwa kutafuta Jimbo lingine hata Moshi mjini au Vijijini lakini kwa hasira hizi nilizoziona napata majibu kuwa Pumzi ya Ngome kuu imefikishwa mwisho
Na hii Ni kuona wazi Rais Magufuli anajua kuzichanga karata zake maana Alitambua wazi kuwa Kumpeleka Hai kijana huyu Lengai Ole Sabaya basi Ni kuhamisha pambano la 2020 maana kwa namna yeyote ile Mbowe asipobadili mahala pa kugombea Basi lazima nguvu zote chama kitahamishia kula Kilimanjaro katika wilaya ya Hai ambayo Ina viongozi wanaosemekana Ni Makini,Wanaoelewana na walioiva kiitikadi na itifaka ukianza na Lengai pia Kuna DED Yohana Sintoo na DAS Upendo Wela
Wako Jamvini
Mnazarayo Mushi GODFREY
Leo baada ya kupitia baadhi ya mitandao ya kijamii Nikiwa nafatilia Mambo ya duniani yanayojiri Kila siku nimebahatika kukutana na sehemu kadhaa Ambazo Kiufupi zimenipa Taswira mpya kichwani
Kwanza Ni Juu ya hofu kubwa iliyotanda vichwani vya wanachadema wengi juu ya hatima ya Ngome kuu ya chama Chao ambayo kiukweli Ni pale Wilaya ya Hai ,Nasema hivo kwa sababu Ndio shina lenyewe kwa kuwa Ni mahali ambao anaedhaniwa kuwa mwamba wa chadema Ndio nyumbani kwake na SI nyumbani tu Bali pia sehemu iliokuwa haitikisiki.
Hofu kubwa niliyoiona Ni Juu ya uwepo wa Mkuu wa Wilaya Ambae wachambuzi wengi wanamtafsiri Kama kijana shupavu,Mbabe wa Vita za Ana kwa Ana ,Kijana aliepita kwenye kashikashi nyingi za kutisha Wanamwita Lengai Ole Sabaya,
Wanachadema wengi wa mitandaoni wamechukua jukumu la kudili na Kijana Huyu kokote ambako either picha yake ama Habari zake zitakapoonekana Basi wanatumia nguvu ya Kila aina kumbeza,Kumchongea,Kumkashifu,Kumzushia na wengine wanaenda mbali zaidi wana mtolea lugha Ambazo Ni chafu,
Nimejiridhisha zaidi kwa kuanagalia hata sehemu ambazo either Kuna taarifa za viongozi was Serikali kwa pamoja basi wanachadema wengi watamshambulia Lengai Ole Sabaya pekee ake kwa tuhuma za Kila namna.
Kiukweli Nimetafakari Sana suala Ilo kupata hitimisho ambalo kwa upande wangu Ni Pumzi ya Ngome kuu ya chadema iko Mahututi au iko rehani Na Kuna Kila haja ya wanachadema kukaa chini watafakari kwa umakini hatima ya ubunge wa Mbowe pale hai either kwa kutafuta Jimbo lingine hata Moshi mjini au Vijijini lakini kwa hasira hizi nilizoziona napata majibu kuwa Pumzi ya Ngome kuu imefikishwa mwisho
Na hii Ni kuona wazi Rais Magufuli anajua kuzichanga karata zake maana Alitambua wazi kuwa Kumpeleka Hai kijana huyu Lengai Ole Sabaya basi Ni kuhamisha pambano la 2020 maana kwa namna yeyote ile Mbowe asipobadili mahala pa kugombea Basi lazima nguvu zote chama kitahamishia kula Kilimanjaro katika wilaya ya Hai ambayo Ina viongozi wanaosemekana Ni Makini,Wanaoelewana na walioiva kiitikadi na itifaka ukianza na Lengai pia Kuna DED Yohana Sintoo na DAS Upendo Wela
Wako Jamvini
Mnazarayo Mushi GODFREY