kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Anatarajiwa kurejea Monduli, CCM imeandaa mapokezi kuanzia Arusha na taarifa zinaeleza kuwa polisi watasimamia mkutano huo. Je, Huyu Lowasa wa Sasa ni tofauti na yule aliyekuwa Chadema ambaye kila alipokuwa anakanyaga polisi walimdhibiti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app