Recent content by Baheart muya

  1. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Naomba niangalizie S4403/0006
  2. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Ni kher wasingetwambia kama kuna hyo second selection wangekaa kimya had siku ambayo wangejisikia kutoa wangetoa,kuliko kututia wahaka wa moyo!! Inauma sana na inatia hasira kwa kwel post za vyuo shida hzo second nazo shida hakuna hata kwenye ahuen! Eee mungu wee mbona shida mwaka huu!
  3. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Habar wanajf kwa taarifa nlizozipata kwenye page ya Dk.shukuru kawambwa amesema kuwa uteuz wa wanafunz wa second selection umekamilika na hvyo kuanzia muda wowote ndani ya wiki hii tamisemi watatoa post hzo.
  4. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Hapana ckuchaguliwa huko udom!
  5. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Mmmh! Wanajf had saa hz hakuna lolote hil leo changa la macho,hakuna hata tetec kuwa kama hzo post ni tayar ama vp,hao wahucka wenyewe wako kmya hasaa cjui wana maanisha nn? Tutadanganywa hvyohvyo kila cku,cku ya leo imepita hakuna k2! Cjui kesho itakuwa vp!!! Twaomba mungu
  6. B

    Special program UDOM

    Anhaaa! Thnx brother
  7. B

    Special program UDOM

    Habar wanajf naomba kuuliza kwa cye tuliofanya application za ualm kupitia nacte tutapata ln post zetu? Halaf pia tutaanza kusoma pamoja na wale waliochaguliwa directly au kila kundi litaanza kivyake?
  8. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Habar wanajf samahan naomba uliza kwamba mie comb yang imebalance ccc ambayo ni CBG na nina gpa ya 1.7 je naweza chaguliwa kweny secnd selection?
  9. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Ingia fb halafu like page ya Mh.shukuru kawambwa then u will c all information.
  10. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Mmmmh! Tutashukuru mungu endapo watafanya hivyo maana tumechoka hasaaa!
  11. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Mmmh! Tutashukuru mungu endapo watatufanyia hivyo
Back
Top Bottom