Watu huwa tunajisahaulisha sana kwenye mahusiano.
Kabla ya kuingia mambo huwa mpwitompwito, simu mara 37 kwa siku, sms 100, mwanamke atajipamba kila mara mnapokutana, perfume inavutia na vingine kadhaa
Baada ya kuolewa, na kujihakikishia hakuna competitors, The tend to change mpaka unajiuliza...