Machange
Senior Member
- Jun 10, 2016
- 152
- 187
Jina la mtoa comment linasanifu jinsi alivyo
U
Subiri kwanza usote ndiyo utajua umuhimu wa possible ,,
Hivi kwa akili yako unazani mtu aliyemaliza 2014 mpaka leo anaweza akawa anakumbuka Taxation yote? Na hata akianza kusoma unazani anaweza akaimaliza ndani ya mda mchache? Ndiyo maana mtu anaomba possible ili asije poteza mda mwingi kusoma vitu vingi