Haya maisha siyo majaribio.
Hivi ninavyoandika, kuna jamaa kampiga mke wake huko Muleba - Kagera na kumuua usiku wa leo. Hivyo vipigo kwa wake siyo dawa ya mahusiano.
Inategemea aliumizwa kiasi gani ndugu! Chukulia huyo mwanaume amemtoa manundu au kampa maumivu ya ndani na hospitali hawatibu bila PF 3. Namjua jamaa aliyemkata mkewe kwa msumeno kwa ugomvi ambao hauna kichwa wala miguu, unategemea huyo mama angefanyaje.
Nashauri kama unaona mwanamke au mme...
Kama unaona kusoma kwa mwanamke kwenye familia ni shida, mbona mnatafuta usaidizi kwenye majukumu yenu kupitia vipato vyao? Hao wasiosoma watakuwa tegemezi hata kwa vitu vidogo. Na siku familia mkikwamba si wataishi kama enzi za ujima? au hayo hamuyaoni kwenye familia zinazotegemea kipata cha...
Acha kujidanganya ndugu yangu, Wanaume wa kikurya ni shida wanapenda mteremko ndiyo maana unawaza kuoa Tarime kwa kuwa majukumu yote atakuwa nayo mkeo, wewe utakuwa unatanua tu na pesa yako kwa starehe na wanawake.
Mbaya kwa mila zenu hana uwezo wa kuhoji mwanaume.
Wanaume wengine akiomba umkopeshe ndiyo imetoka hiyo. Pesa yako utaisikia kwenye matangazo. Ukimdai ugomvi unaanzia hapo. Hivyo wakati mwingine roho mbaya wanawake wanafundishwa na wanaume.
Lakini mtu ye yote asiyewatunza wa walio wake, yaani, wale wa wanyumbani mwake hasa,ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini .1Timotheo 5: 8. Hivyo jukumu la kuhudumia familia ni la mme siyo mke. Mke ni msaidizi tu.
Kusaidiana katika maisha ya ndoa ni kuzuri sana. Shida inakuja pale ambapo mwanaume anapigia hesabu kipato cha mkewe na chake hakiweki wazi shida inaanzia hapo.
Hakuna anayetaka shida katika maisha, ila wanaume wa kizazi hiki wanaoa wanawake wenye kazi ili kukwepa majukumu ya familia zako...
Siyo wote wanaopata vipigo wamechepuka. Wengine ni kwa ajili ya kupigania haki zao katika ndoa au familia zao. Neno kuchepuka wanaume walio wengi wanalitumia kama mwavuli ili kuficha ukweli wa vyanzo vya ugomvi katika familia nyingi. Asilimia kubwa ya akina mama wanaochepuka ndoa zao zinakuwa...
Unyumba umeufanya kuwa ni silaha katika maisha ya ndoa. Kama kuna vitu vya lazima na muhimu huvitimizi kama mwanaume unadhani mkeo atakupa unyumba. Nendeni kwa michepuko mkatimize haja zenu. Maana hata mkipewa kama dose ya panadal bado mtatoka nje. Wengine mmepata sababu tu.
Ulichofanya siyo sahihi! ulimpa nafasi ya kusahihisha makosa yake? Pia inawezekana ulitumia vyeti feki. Alifukuzwa kazi kwa vigezo gani? Jibu kwanza haya maswali nitakuja kuchangia zaidi.
Mimi ni nani?
Mimi ni mama!
Dunia inanitegemea,
Watoto wananitegemea,
Mimi ni mama.
Ni wimbo mfupi wa kuonyesha nafasi ya mama katika Jamiii.
Happy Women's Day!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.