Kweli kabisa serikali ya bongo inafagilia ingawa bakhresa ni mwekezaji mkubwa nchini na ni chanzo cha ajira kwa vijana wengi lakini tuangalie na kero wanazopata wananchi walio wengi, hata kama wao ndio wameshika kwenye mpini
miundo mbinu ya bongo imekosewa kitambo plan hiyo ilitakiwa iwepo kitambo pawepo na under tunnel na flying over kwa sasa inakuwa ngumu kwani miundo mbinu ya bongo ni yakizamani inakuwa ngumu my be sijui serikali i
fanyeje kwani kuanzia kwenye mitaro ya maji taka na maji safi ni zero...
miundo mbinu ya bongo imekosewa kitambo plan hiyo ilitakiwa iwepo kitambo pawepo na under tunnel na flying over kwa sasa inakuwa ngumu kwani miundo mbinu ya bongo ni yakizamani inakuwa ngumu my be sijui serikali ifanyeje kwani kuanzia kwenye mitaro ya maji taka na maji safi ni zero...
waheshimiwa nakumbuka nikiwa mdogo miaka ya 80 hadi 90 kuna kiwanda cha kusindika ngozi, mashirika kama ya usafirishaji, kauma ,kauru, kaudo na mengine mengi kam sukita,n.k
ni kweli mtoa maoni tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi sana ukilinganisha na nchi nyingine africa na zimetupita kimaendeleo , tanzania inaweza kujengwa na sekta moja tuu ya utalii tuangalie nchi kama ETHIHOPIA uchumi wao mkubwa wanategemea usafirishaji wa anga sasa sisi wabongo tuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.