Km 100 kutoka mafinga ni wapi hapo usipataje?
Je kunafikika kwa gari ya mizigo tone 15 isije ikawa uchindile ambako kutoa mzigo hadi uombe escort ya timber jacks 2 za green resources. Pleas mm nimewahi kuwa dereva wa gari ya mizigo ndani ya wilaya ya mufindi, navifaham vijiji vyotee vya wilaya...
Niko mbali na dar
Pleas unaweza nipa specification zake
1.plate number yake ni ngap?
2. Imported when and from where
3. Trailler yake ni home made au ya mtumba
4. Traillers axles zinatumia spring au air sunspension booster
5.0ther necessary specification kama inatembea ni local au transt, diff...
Reli ingepunguza utitiri wa malori ya mizigo kwenda mikoani kama mbeya, mwanza hivyo kuathiri biashara ya usafirishaji mizigo ya familia ya rais inayomilikiwa na Ridhiwani. Pia ingepunguza soko la mafuta maana magari ya mizigo ambayo ndo consumers wa mafuta yangunguza safari hivyo kampun za...
Vodacomu mtandao chakavu
Wanatoa huduma mbovu
Kwa gharama ndo wanaongoza
Mtandao umekaa kama genge la matapeli
Wanaongoza kwa huduma mbovu kwa mteja
Wanategemea kuchota pesa za wateja kijangili
Tigo ndo mpango mzima
Basi voda igeni mfano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.