Wakati Maalim Seif akiwa kama Waziri Kiongozi alipokwenda Kutibiwa Nchi za Nje alipata msaada na akawapatia wananchi wake Mchele na Sukari na Lipumba alinyanyua Uchumi wa Nchi moja barani Afrika na pia alikua mshauri wa Mwinyi sasa huyo Slaa amefanya nini au ame******************
Mwakilishi mpya wa Jimbo la Bububu, Hussein Ibrahim Makungu, jana aliapishwa huku Mawaziri wa Chama cha Wananchi (CUF) na wajumbe wake wakisusia tukio hilo kwa kutoka nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi (BLW) Chukwani Zanzibar.
Makungu aliapishwa mbele ya Spika wa Baraza hilo, Pandu Ameir...
Wakuuu Naikubali hiyo picha ya mataaa mna mara mwisho ilitengenzwa pindi Kikwete alipokwenda kuweka jiwe la msingi la daraja na siku iliyofuata iliharibika tena.....Inamaana kuwa hizi taa akipita Kiongozi wa Nchi ndio zafanya kazi...wakuu hapo kila siku ajali na ndio mana kwa sisi wakaazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.