Recent content by bagwell

  1. B

    Wasiomjua Dr. Slaa soma mada hii, kabla ya uanasiasa na baada

    Labda kwa Kueneza Ukafiri
  2. B

    Wasiomjua Dr. Slaa soma mada hii, kabla ya uanasiasa na baada

    Wakati Maalim Seif akiwa kama Waziri Kiongozi alipokwenda Kutibiwa Nchi za Nje alipata msaada na akawapatia wananchi wake Mchele na Sukari na Lipumba alinyanyua Uchumi wa Nchi moja barani Afrika na pia alikua mshauri wa Mwinyi sasa huyo Slaa amefanya nini au ame******************
  3. B

    Kambi ya Lowassa yaibuka kidedea UVCCM Arusha

    Kaka penye Mfupa
  4. B

    Wasiomjua Dr. Slaa soma mada hii, kabla ya uanasiasa na baada

    Na aende Huko...Hebu tupe CV yake kwa urefu nimuone kma anaweza kumpata Seif Sharif au Lipumba
  5. B

    Karibuni Kwenye Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Mwalimu Nyerere-Jumapili 14 Oktoba-Nkrumah

    Ukweli unauma kwani Nyerere ni Nabii au Mtume?..
  6. B

    Wapigania uhuru wa Zanzibar waungwe mkono!

    Speechlesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
  7. B

    CUF, CCM sasa ni jino kwa jino

    Mwakilishi mpya wa Jimbo la Bububu, Hussein Ibrahim Makungu, jana aliapishwa huku Mawaziri wa Chama cha Wananchi (CUF) na wajumbe wake wakisusia tukio hilo kwa kutoka nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi (BLW) Chukwani Zanzibar. Makungu aliapishwa mbele ya Spika wa Baraza hilo, Pandu Ameir...
  8. B

    Rais Mstaafu Mwinyi Mahakamani Kisutu

    Wanajuana hao wote wake tu hao kwani huyo mwinyi hajawai kuiba...pumbavuuuuuuuuuuuuu
  9. B

    Watoto wa Wasira waliojiunga CHADEMA watoa ufafanuzi juu ya uhusiano wao na Waziri Wasira

    Mimi nakuunga Mkono asilimia 90 mna hao CHADEMA wakinya tu wanaonekanwa ndio muhimu....pumbavu zao
  10. B

    Waziri wa CUF aiporomoshea CHADEMA matusi!

    Yaani mengine kayamezea maana kuna mengi hao CHADEMA wamekua wakishirikiana na CCM mbona hawaambiwi wao CCMB pumbavu zao chadema
  11. B

    Kilwa road a.k.a machinjioni

    Wakuuu Naikubali hiyo picha ya mataaa mna mara mwisho ilitengenzwa pindi Kikwete alipokwenda kuweka jiwe la msingi la daraja na siku iliyofuata iliharibika tena.....Inamaana kuwa hizi taa akipita Kiongozi wa Nchi ndio zafanya kazi...wakuu hapo kila siku ajali na ndio mana kwa sisi wakaazi wa...
Back
Top Bottom